Mrao keryo JF-Expert Member Joined Aug 29, 2022 Posts 1,901 Reaction score 2,566 Feb 15, 2025 #41 shuka chini said: Aziz k anaenda kuoa malaya aliyeshindikana. Click to expand... Malaya ndo wakiolewa wanatulia kwenye ndoa
shuka chini said: Aziz k anaenda kuoa malaya aliyeshindikana. Click to expand... Malaya ndo wakiolewa wanatulia kwenye ndoa
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Feb 15, 2025 #42 Hongera sana
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Feb 15, 2025 #43 ngara23 said: Yani unaandika Uzi wa maumivu na majonzi ya Azizi ki kumwona Mobeto? Au Mobeto amechukua nafasi yako? Click to expand... Aastaghafyura habibi!!
ngara23 said: Yani unaandika Uzi wa maumivu na majonzi ya Azizi ki kumwona Mobeto? Au Mobeto amechukua nafasi yako? Click to expand... Aastaghafyura habibi!!
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Feb 15, 2025 #44 Mnyenz said: Jamaa anaenda kuoa mke wa watu. Click to expand... I bet you can't say that again without crying.
Mnyenz said: Jamaa anaenda kuoa mke wa watu. Click to expand... I bet you can't say that again without crying.
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Feb 15, 2025 #45 BRN said: Umefikiri kama mimi..unaweza kukuta hapo ukumbini waalikwa wanaume nusu yao wamepita nae..Daah Click to expand... Wakuu huwa mnapata wapi guts za kumuongelea mtu ambaye hamjawahi hata kukaa nae japo dakika tano na mnapata ujasiri wa kutoa shutuma kama hizo? Mna uhakika dada zenu ni wasafi kuliko Mobetto?
BRN said: Umefikiri kama mimi..unaweza kukuta hapo ukumbini waalikwa wanaume nusu yao wamepita nae..Daah Click to expand... Wakuu huwa mnapata wapi guts za kumuongelea mtu ambaye hamjawahi hata kukaa nae japo dakika tano na mnapata ujasiri wa kutoa shutuma kama hizo? Mna uhakika dada zenu ni wasafi kuliko Mobetto?
Kijukuu cha ngoyayi JF-Expert Member Joined Oct 27, 2018 Posts 1,384 Reaction score 2,880 Feb 15, 2025 #46 Kijana ni mfano halisi wa ngoswe
BRN JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 5,188 Reaction score 6,633 Feb 16, 2025 #47 magnifico said: Wakuu huwa mnapata wapi guts za kumuongelea mtu ambaye hamjawahi hata kukaa nae japo dakika tano na mnapata ujasiri wa kutoa shutuma kama hizo? Mna uhakika dada zenu ni wasafi kuliko Mobetto? Click to expand... Na hiki mnachokifanya Kiko sawa? Attachments IMG-20250216-WA0003.jpg 84.6 KB · Views: 1
magnifico said: Wakuu huwa mnapata wapi guts za kumuongelea mtu ambaye hamjawahi hata kukaa nae japo dakika tano na mnapata ujasiri wa kutoa shutuma kama hizo? Mna uhakika dada zenu ni wasafi kuliko Mobetto? Click to expand... Na hiki mnachokifanya Kiko sawa?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 16, 2025 #48 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw