Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Asante sana nitafuata ushauri wako mzuriWakati ukisubiri majibu ya Dr's sisi wa tiba mbadala tunakushauri kwenye hbr ya menu punguza vyakula vyenye mafuta mengi, punguza kiasi cha chumvi na sukari, punguza vilevi kama unatumia, anza mazoezi kama ulikuwa hufanyi, ikiwezekana nyama nyekundu pia upunguze, kula sana nyanya, matunda na mboga za majani, maji kwa wingi lakini pia kaa sehemu yenye hewa ya kutosha afya yako itaanza kuimarika.
Dada asante sana nimefarijika, umerudi?Pole kaka yangu,
Kwa maelezo yako ulipata TIA (Transient Ischaemic Attack) au minor stroke. TIA inaweza kuwa noticed au unnoticed ila mwili unakuwa kwenye hatari ya kupata 2nd attack katika muda wa masaa 72.
Amii asante kwa duaPole sana Mpwa! Hizi sio taarifa njema hata kidogo. Mungu akatende jambo juu yako. Amen
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Mpwa! Hizi sio taarifa njema hata kidogo. Mungu akatende jambo juu yako. Amen
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi pole sanaHapana
Ninio mbaya tena?