bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 871
Mimi ni kijana niliyeoa, niko kwenye ndoa sasa kwa miaka tisa (9) sijapata mtoto; vipimo vinaonyesha mke wangu hana tatizo lolote kwenye uzazi-ila tatizo ninalo mimi; nimeambiwa mbegu zinazozalishwa kwangu ni chache, pili hazina uteute utaozifanya ziteleze na kuweza kulifikia yai. Madaktari wanasema hakuna dawa ya kurekebisha hiyo kwani "production site ya viscosity is deady" Ila chakushangaza nina uwezo mkubwa wa kufanya tendo la ndoa hata mara tano kwa siku na zinatoka vizuri; na zilipimwa ni nzima kabisa tatizo ndio hilo "Uchache na no viscosity" Naombeni ushauri nifanyeje????????
pole sana mkuu kwa muda wa miaka 9 huna mtoto!
ila ningekuwa mimi wala nisingehangaika nimepunguziwa matatizo tu kizazi chenyewe hiki:
1.watoto wa kike wanajua mambo bado wadogo!
2.mtoto wa kiume unampa hela akasome yeye ananunua kondom
3.watoto wa kike umalaya na utoaji mimba ovyo hata kama unampa kila kitu!
4.watoto wa kiume ndo ushoga unawaandama!
Ndugu yangu, umeuliza tu ufanyaje lakini hujasema unachohitaji - unahitaji kupona tatizo au unahitaji kupata mtoto ndio unauliza ufanyaje?
Kama ni kweli madaktari wamethibitisha unatoa mbegu chache na zisizo na ute, na kwamba ni kwa sababu 'production site' is dead...nadhani kupona hilo tatizo itakuwa ngumu, au utafute msaada nje ya nchi.
Lakini kama unahitaji tu watoto...nadhani In-Vitro Fertilization (IVF) inaweza kukusaidia. IVF inahitaji tu uwe na uwezo wa kuzalisha mbegu zikakomaa, basi hizo zitavunwa na kurutubisha yai toka kwa mkeo, kisha linandwa kwenye kizazi na mimba inatunga na kukua kama kawaida, na mkeo anajifungua. Mnaweza zaa watoto kadhaa tu kwa njia hii, na wala haikuhitaji uende nje, kwani hii procedure inafanyika hapa Bongo.
Mkuu naomba nikuulize kaswali. Ina maana ww hutaoa na kupata watoto kwa sababu hizi ulizozitaja hapa?
wewe umeangukia kundi gani hapo?
Mimi ni kijana niliyeoa, niko kwenye ndoa sasa kwa miaka tisa (9) sijapata mtoto; vipimo vinaonyesha mke wangu hana tatizo lolote kwenye uzazi-ila tatizo ninalo mimi; nimeambiwa mbegu zinazozalishwa kwangu ni chache, pili hazina uteute utaozifanya ziteleze na kuweza kulifikia yai. Madaktari wanasema hakuna dawa ya kurekebisha hiyo kwani "production site ya viscosity is deady" Ila chakushangaza nina uwezo mkubwa wa kufanya tendo la ndoa hata mara tano kwa siku na zinatoka vizuri; na zilipimwa ni nzima kabisa tatizo ndio hilo "Uchache na no viscosity" Naombeni ushauri nifanyeje????????
Pole sana,cha msingi pitisha ata wiki ili mbegu ziwezekuwa nyingi na zenye nguvu pia mwombe sana mungu hakuna lisilowezekana atakupa mtoto siku ikifika,JIPE IMANI UTAFANIKISHA.MUNGU AKUBARIKI
...wakati wa kugegeda inabidi mda unapokaribia kufika kileleni umnyanyue MIGUUU juu - Kichwa chini...then kojoa....zitateleza zenyewe hadi kunakotakiwa (ukifanikiwa uje ukatujuze)
View attachment 117279
umesahau kumwambia kuwa hiyo ni probability na anaweza kufanya/kujaribu zaidi ya moja kisha akafanikiwa au asifanikiwe.
kumbe na wewe ni kadaktari.
Ngoja nikupm.
karibu chumba cha daktari
Ndugu yangu, umeuliza tu ufanyaje lakini hujasema unachohitaji - unahitaji kupona tatizo au unahitaji kupata mtoto ndio unauliza ufanyaje?
Kama ni kweli madaktari wamethibitisha unatoa mbegu chache na zisizo na ute, na kwamba ni kwa sababu 'production site' is dead...nadhani kupona hilo tatizo itakuwa ngumu, au utafute msaada nje ya nchi.
Lakini kama unahitaji tu watoto...nadhani In-Vitro Fertilization (IVF) inaweza kukusaidia. IVF inahitaji tu uwe na uwezo wa kuzalisha mbegu zikakomaa, basi hizo zitavunwa na kurutubisha yai toka kwa mkeo, kisha linandwa kwenye kizazi na mimba inatunga na kukua kama kawaida, na mkeo anajifungua. Mnaweza zaa watoto kadhaa tu kwa njia hii, na wala haikuhitaji uende nje, kwani hii procedure inafanyika hapa Bongo.