Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
sikutoa taarifa mkuu .maana nlipigiwa cm ya gafla niende mkoani kwenye usaili kwamba kuna shortage huko ya form sixSasa umeondoka Week nzima hujatoa taarifa unatarajia nn sasa?
Au uliomba kibali??
Tanzania bhanna
kwaiyo kani fire au nimeji fireKama haukuaga muajiri ana haki ya kuku FIRE...
na kama nimeji fire je taraatibu zipojeKama haukuaga muajiri ana haki ya kuku FIRE...
sikuomba ruksa mkuuJe, uliondoka kwa ruhusa?
Unataka taratibu zipi tena wakati umeisha jifire mwenyewe? Kutokwenda kazini kwa siku Zaidi ya Saba Na bila taarifa, unakuwa umejifukuzisha kazi.na kama nimeji fire je taraatibu zipoje
nataka niende Nssf kufatialia mafao yang wanataka barua kazini hr barua anasema atoiKama hukuomba ruhusa, mwajiri wako anahaki ya kukufukuza
Pia ni vyema ukipitia policy ya shirika lako na uelewe inasemaje juu ya haki na wajibu WA mwajiriwa
saw a mkuuAndika barua wewe ya kuacha kazi,then mengine yatafuata.Na barua watakupa.Wape na mshahara wa mwezi mmoja sababu wewe ndo umeacha kazi.