Manyunchwi
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 431
- 149
Kwa enzi hizi makazini, kama hutaacha mambo haya utapata shida.... umefanya vema kuuliza. Maana ungeacha kuuliza inamaana ungeendeleza malumbano nao wakati uliachakazi mwenyewe.Achana nao tafuta maisha mbele------ usihofu kwa kukosa ajira hapo, WANAUME WANAFIA NJE