BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ndiyo umeshajifukuzisha kazi, huwezi ukakosekana kazini kwa wiki nzima bila muajiri wako kuwa na taarifa.
sikutoa taarifa mkuu .maana nlipigiwa cm ya gafla niende mkoani kwenye usaili kwamba kuna shortage huko ya form six
naomba kusaidiwa kama nna haki yoyote kujua hapo