Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Nisaidieni jaman juzi nimepoteza kadi ya Bima ya afya nimefuata hatua Zote ikiwemo ripoti kutoka polisi naenda pale na ambiwa siwez Pata nyingine kwa sababu aliekusajilia ni Dada yako labda angekua mama yako. Nishaurini Wana sheria nifanyaje nipate kadi yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app