Nimeambiwa Wajukuu hawaruhusiwi kurithi nifanyeje?

Nimeambiwa Wajukuu hawaruhusiwi kurithi nifanyeje?

My scenario iko hivi

Tulizaliwa wawili,
Baba, Mama na Mdogo wangu wote wamefariki
Baada ya baba kufariki , tuliishi na mama , tulikuwa wadogo so sijui nani aliteuliwa kama msimamizi...

Mtafute Mungu simama nae uishi. Kama walifanikiwa kuwaua wengine isiwe kwako.

Unachokiwaza wewe na walichokupangia wanadamu wanaoitwa ndugu ni tofauti sana.

Yesu akusaidie sana
 
Wanakushauri kuuza nyumba wapuuze yasikukute yaliyonikuta mimi. Baada ya kuuza nyumba nkajenge nyingine sehemu nyingine niepukane na hawa ndugu wengine akaja kijana mwingine akanifundisha kubet na mambo mengine...
Haitakuwa hivyo as Nina nyumba 2 tayari.

So siuzi hizi Kwa sababu nataka hii pesa kuishi hapana.

NATAKA TU KUHAKIKISHA WATOTO WA NDUGU YANGU WANAPATA HAKI YA BABA YAO.
 
Wewe ni mtu mwema sana.....kwa kua wewe na mdogo wako ndio warithi wa wazazi wenu ,fanya hivi...tengeneza minutes za kikao cha familia(hakikisha huwashirikishi hao ndugu bali tumia majina yao na wasainie kama kikao kimefanyika)tafuta cheti cha kifo cha mzee kafungue mirathi...na fanya unavyoweza mahakamani wa expadite hili zoezi...ukishapewa mamlaka ya msimamizi wa mirathi...nenda kafanye transfer ya hizo nyumba kuja majina yako/wajukuu uliowakusudia....kikubwa fanya kwa usiri hao mafia wasijue.
Nimekusoma Sana.
 
Kwani ni wangapi hao wanaoua ndugu zenu ili wauze mali na kutekeleza watoto? Kuna kitu ningekushauri ila jiongeze, kuna struggle for existence the weak will perish the strong one will survive. Sasa wewe amua ndio uwe strong au weak
 
Kwani ni wangapi hao wanaoua ndugu zenu ili wauze mali na kutekeleza watoto? Kuna kitu ningekushauri ila jiongeze, kuna struggle for existence the weak will perish the strong one will survive. Sasa wewe amua ndio uwe strong au weak
ndo mana nimekuja hapa kupata ushauri!!

Nasoma kila reply, itanisaidia moja au maeili
 
Wewe ni mtu mwema sana.....kwa kua wewe na mdogo wako ndio warithi wa wazazi wenu ,fanya hivi...tengeneza minutes za kikao cha familia(hakikisha huwashirikishi hao ndugu bali tumia majina yao na wasainie kama kikao kimefanyika)tafuta cheti cha kifo cha mzee kafungue mirathi...na fanya unavyoweza mahakamani wa expadite hili zoezi...ukishapewa mamlaka ya msimamizi wa mirathi...nenda kafanye transfer ya hizo nyumba kuja majina yako/wajukuu uliowakusudia....kikubwa fanya kwa usiri hao mafia wasijue.
Kisheria Hii ni Hatari Sana.

Nipo ndani ya taasisi Tajwa Hapo juu, Kukughushi saini za wahusika inaweza kumpa kesi nyingine hatari ya kunidanganya Mahakama.

Nashauri asijaribu hii mbinu, itamcost.

Afate utaratibu, hao Baba zake wadogo sio wajinga Kama unavyodhani.
 
Kisheria Hii ni Hatari Sana.

Nipo ndani ya taasisi Tajwa Hapo juu, Kukughushi saini za wahusika inaweza kumpa kesi nyingine hatari ya kunidanganya Mahakama.

Nashauri asijaribu hii mbinu, itamcost.

Afate utaratibu, hao Baba zake wadogo sio wajinga Kama unavyodhani.
Nafahamu, lakini hii ni Tanzania.
Na kwakua wao ni warithi halali hawatakiwi kukingwa na mawazo/ugumu wa wanandugu ambao tayari wanaonekana wana nia ovu kwa wahusika.
 
Nyumba nimewaambia zenye majina yangu wauze.

Ibaki tu hii hapa nilipo, nikifa nayo wauze.

Kila mtu atafute kiwanja ajenge kwa jina lake
 
Nafahamu, lakini hii ni Tanzania.
Na kwakua wao ni warithi halali hawatakiwi kukingwa na mawazo/ugumu wa wanandugu ambao tayari wanaonekana wana nia ovu kwa wahusika.
Mahakama ikimwambia adhibitishe hiyo Nia ovu ya Baba zake wadogo ataweza kudhibitisha?

Ni hisia Tu ndio zinamtawala, na hata Kama ni kweli Baba wadogo walikuwa na Nia ovu, Bado haimpi uhalali wa kutenda uovu wa kuidanganya Mahakama.

Awaite wakae mezani, waongee Kwa uwazi Sheria itaamua.
 
Mahakama ikimwambia adhibitishe hiyo Nia ovu ya Baba zake wadogo ataweza kudhibitisha?

Ni hisia Tu ndio zinamtawala, na hata Kama ni kweli Baba wadogo walikuwa na Nia ovu, Bado haimpi uhalali wa kutenda uovu wa kuidanganya Mahakama.

Awaite wakae mezani, waongee Kwa uwazi Sheria itaamua.
shukran kwa tahadhari!
 
Wewe ndio unapaswa kuwa mrithi halali wa hizo nyumba

Chakufanya
Kuanzia sasa anza mchakato wa kuzinafilisha umiliki kutoka kwa baba yako kuja kwako........ hapo hakuna atakaye leta chokochoko

Mchakato huo unataka lazima awepo msimamizi wa mirathi na shauri lipitie mahakamani

Mtafute aliyekuwa msimamizi kama hayupo tafuta ndugu zako kadhaa unao elewana nao hata wa upande wa mama
Kaeni kikao wakuteue wewe au mtu unayemuamini kuwa msimamizi
Kisha akipitishwa mahakamani utafanywa kuwa mrithi wa hizo mali


Usipofanya huo mchakato ikatokea ukafa baba zako wadogo watageuza kibao kwasababu mpaka sasa nyumba bado zipo kwenye umiliki wa marehemu na sio zako kisheria
 
Wewe ni mtu mwema sana.....kwa kua wewe na mdogo wako ndio warithi wa wazazi wenu ,fanya hivi...tengeneza minutes za kikao cha familia(hakikisha huwashirikishi hao ndugu bali tumia majina yao na wasainie kama kikao kimefanyika)tafuta cheti cha kifo cha mzee kafungue mirathi...na fanya unavyoweza mahakamani wa expadite hili zoezi...ukishapewa mamlaka ya msimamizi wa mirathi...nenda kafanye transfer ya hizo nyumba kuja majina yako/wajukuu uliowakusudia....kikubwa fanya kwa usiri hao mafia wasijue.
Ye awaite tu wafanye kikao wakikataa akatoe taarifa mahakamani, unajua risk za kupeleka forged documents mahakamani ndugu?
 
Baba anapofariki warithi ni mke na watoto. Na mama anapofariki sehemu yake inarudi kwa watoto.
Wamiliki hapo ni hao ndugu wawili. Haki ya ndugu aliyefariki inakwenda kwa watoto wake.
Hao baba wadogo hawana haki humo.
 
Mali ya baba inanitoa roho.....
Bora nikae pembeni.....
Niinusuru roho yangu mimiii......
(tunatoana roho ya rabiii... Kwa mali alizoacha baabaa....)
 
Back
Top Bottom