Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Mleta hoja, usifuate Ushauri huu kwani unapotosha.Wewe ni mtu mwema sana.....kwa kua wewe na mdogo wako ndio warithi wa wazazi wenu ,fanya hivi...tengeneza minutes za kikao cha familia(hakikisha huwashirikishi hao ndugu bali tumia majina yao na wasainie kama kikao kimefanyika)tafuta cheti cha kifo cha mzee kafungue mirathi...na fanya unavyoweza mahakamani wa expadite hili zoezi...ukishapewa mamlaka ya msimamizi wa mirathi...nenda kafanye transfer ya hizo nyumba kuja majina yako/wajukuu uliowakusudia....kikubwa fanya kwa usiri hao mafia wasijue.
Kabla ya kuandika wosia lazima abadilishe umiliki kutoka kwa Marehemu Baba yake kwenda kwenye jina lake, hapo Sasa atakua anaandika wosia Kama mwenye Mali baada ya zowezi la umiliki kukamilika!!Huwezi andika urithi kwa wanao Kwa nyumba uliyorithishwa na babako.
Mimi NI mrithi by default.
Mzee hakurithisha wajukuu zake.
yani mi narithi kwa babangu bila hata wosia unless wosia wake umenikana( Napo labda niwe nimefanya BAADHI YA makosa yaliyoainishwa kisheria mojawapo kulala na MKE WA Baba au kutomuuguza Baba mpk mauti)
Vinginevyo NI mrithi WA asili.
Kimbembe kwenda Kwa wajukuu!!
Watoto wangu wanarithi kwangu, kwa.mali nilizochuma Mimi!!
za babangu/ mamangu kama Hawakutamka kabla hawajafariki Mimi siwezi wajumuisha kwenye urithi WA kile nilichorithi kutoka kwao wether Kwa tamko au Kwa asili.
Sasa basi!!
Iwapo Mimi niliye mnufaika pekee wa Mali ya Wazazi wangu.
nikifariki!!
Mali Ile unarudi kwenye familia ya wahusika.
(Hapo sasa ndo Baba zangu wadogo wanapoingia kwenye hii issue)