Hao aliotumia majina yao Mahakama ikiwataka waje mahakamani je?Wewe ni mtu mwema sana.....kwa kua wewe na mdogo wako ndio warithi wa wazazi wenu ,fanya hivi...tengeneza minutes za kikao cha familia(hakikisha huwashirikishi hao ndugu bali tumia majina yao na wasainie kama kikao kimefanyika)tafuta cheti cha kifo cha mzee kafungue mirathi...na fanya unavyoweza mahakamani wa expadite hili zoezi...ukishapewa mamlaka ya msimamizi wa mirathi...nenda kafanye transfer ya hizo nyumba kuja majina yako/wajukuu uliowakusudia....kikubwa fanya kwa usiri hao mafia wasijue.
Hivi inamaana watu hawajui kua Mirathi ni Ibada,hivi Mtu unajichomeka vp kwenye Mirathi ambayo haikuhusu hadi unafika Mahakamani kulazimisha urithi na wwe!!?? Tumshukuru sana aliyetunga Sheria za Mirathi aliona mbali sana kumlinda Marehemu japo hana kauli tena!!!Kama ni Baba yako na Umebaki mwenyewee hao ndugu wa baba yako wanaonekana wana tamaa sanaaa... piga nyumba bei kajengee nyinginee utakazoandika majina yako au hao unaosema unawasaidiaa..
Asiuuze hiyo Nyumba,bali aandike Wosia inatoshha, maana hadi sasa yeye ndiyo mwenye Mali!!Uza hizo nyumba ukajenge sehemu nyingine otherwise itakuwa issue mbovu sana endapo utawahi kuondoka duniani
Mikopo tena!!?? Huko atapigwa tu na wajanja wa Mikopo!!!Au kopea mkopo mrefu kama inakubalika, ungoje iipigwe mnada shaaaa, huo mkopo ukatende jema lingine.
Sijui sasa watu wa mikopo wanasemaje hapa.
Hivi ni kwa nini huwa hivyo, kuna familia wanaishi mpaka miaka 80, 90 hukoJitahidi uweke mazingira mapema damu yenu inaonyesha inaondoka mapema ni nyepesi sana jitahidi uweke mambo sawa z
Unafikiri Kila mtu ni mwendawazimu na mfuata mkumbo kama wewe?Wanakushauri kuuza nyumba wapuuze yasikukute yaliyonikuta mimi. Baada ya kuuza nyumba nkajenge nyingine sehemu nyingine niepukane na hawa ndugu wengine akaja kijana mwingine akanifundisha kubet na mambo mengine.
Nnayopitia sasa hivi, najiandaa kuandika kitabu. Soon ntakuwa tajiri kupitia kitabu changu.
Uza nyumba kama unaweza geuza matatizo kuwa fursa
A wise man never knows all. Only fools know everything.Unafikiri Kila mtu ni mwendawazimu na mfuata mkumbo kama wewe?
Mungu fundiHivi ni kwa nini huwa hivyo, kuna familia wanaishi mpaka miaka 80, 90 huko
Huwezi andika urithi kwa wanao Kwa nyumba uliyorithishwa na babako.Asiuuze hiyo Nyumba,bali aandike Wosia inatoshha, maana hadi sasa yeye ndiyo mwenye Mali!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
DahJitahidi uweke mazingira mapema damu yenu inaonyesha inaondoka mapema ni nyepesi sana jitahidi uweke mambo sawa z
Na vipi ikitokea wakaja watoto wa nje wakadai mali?Baba anapofariki warithi ni mke na watoto. Na mama anapofariki sehemu yake inarudi kwa watoto.
Wamiliki hapo ni hao ndugu wawili. Haki ya ndugu aliyefariki inakwenda kwa watoto wake.
Hao baba wadogo hawana haki humo.
Mzee inaelekea alikua mtu mnyoofu bana.Na vipi ikitokea wakaja watoto wa nje wakadai mali?
Pole sana, kaka yako alifariki kwa sababu gani?Mzee inaelekea alikua mtu mnyoofu bana.
Kwa miaka 30 mpk sasa hajajitokeza mtu mahali anasema yeye ni mwanae /mama wa mwanae.
Ila nikwambie kitu?
NAWISH ANGEKUWA ANA MTOTO/WATOTO KWINGINE kwa mama tofauti
Kubaki mwenyewe ujue inaumiza!
Huyo mdogo wako ni jinsia gani?Nitafanya hivyo na maskini nilianza kufanya hata bila kujua sheria zinasemaje.
Hawa a the late ndo nawawaza.
Wangu baba yao na mimi angalau kuna vitu wanaweza sema hapa ni ka baba hapa ka mama.
Natamani nifanye kitu mdogo wangu angefanya, kuwaachia watoto wake mahali wanasema hapa ni kwangu
Kwa aina ya babu zao , zile nyumba watazisikia kenye bomba.
Kwa mtoto, mfano nyumba ni za baba yako, huna haja ya kuteuliwa, unarithi automatically. Na kama umebaki mwenyewe, utateuliwa na nani? Ni kuinesha uhusiano wako na baba yako mahakamani.Kuhusu utaratibu kisheria.
Si itabidi niteuliwe kama msimamizi wa mirathi ndipo niweze kuhamisha umiliki na kisha kuziuza?
ok, Ambapo naanza kwa shauri jipya au natakiwa kurefer kwenye shauri la mwanzo la mirathi?Kwa mtoto, mfano nyumba ni za baba yako, huna haja ya kuteuliwa, unarithi automatically. Na kama umebaki mwenyewe, utateuliwa na nani? Ni kuinesha uhusiano wako na baba yako mahakamani.