Nimeambiwa Wajukuu hawaruhusiwi kurithi nifanyeje?

i still kinda lost!
Mana kumbukumbu za kimahakama baso ni tatizo kutrace.

Mashauri yote ya mirathi miwili ni kama no traces.
Hapo inakuwaje wadau?
 
1. Mleta hoja, usifuate Ushauri huu kwani unapotosha.
Ukifanya hivyo utakuwa unafanya jinai ya kughushi nyaraka (Kughushi Muhtasari wa Mirathi) na hukumu yake ni miaka saba gerezani endapo kama Mahakama ikikutia hatiani kwa kosa hilo.
2. Unachotakiwa kufanya Kwanza ni kushughulikia suala la Mirathi ya wazazi/ wamiliki wa awali wa hizo nyumba. Baada ya kukamilika kwa suala la mirathi ndipo sasa unaweza kuhamisha umiliki wa hizo nyumba kwenda kwa mtu yeyote yule utakayetaka.
Je, eneo/ardhi ambapo nyumba ilipo tayari imepimwa? Mmiliki wa hiyo nyumba aliyesajiliwa/anayetambulika kisheria ni nani?
Tafuta Mwanasheria Mzuri mwenye uelewa mpana katika Sheria za Mirathi na Sheria za Ardhi ili akuongoze katika hili.
 
Kabla ya kuandika wosia lazima abadilishe umiliki kutoka kwa Marehemu Baba yake kwenda kwenye jina lake, hapo Sasa atakua anaandika wosia Kama mwenye Mali baada ya zowezi la umiliki kukamilika!!
 
Kabla ya kuandika wosia lazima abadilishe umiliki kutoka kwa Marehemu Baba yake kwenda kwenye jina lake, hapo Sasa atakua anaandika wosia Kama mwenye Mali baada ya zowezi la umiliki kukamilika!!
Shukrani sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…