Huwezi andika urithi kwa wanao Kwa nyumba uliyorithishwa na babako.
Mimi NI mrithi by default.
Mzee hakurithisha wajukuu zake.
yani mi narithi kwa babangu bila hata wosia unless wosia wake umenikana( Napo labda niwe nimefanya BAADHI YA makosa yaliyoainishwa kisheria mojawapo kulala na MKE WA Baba au kutomuuguza Baba mpk mauti)
Vinginevyo NI mrithi WA asili.
Kimbembe kwenda Kwa wajukuu!!
Watoto wangu wanarithi kwangu, kwa.mali nilizochuma Mimi!!
za babangu/ mamangu kama Hawakutamka kabla hawajafariki Mimi siwezi wajumuisha kwenye urithi WA kile nilichorithi kutoka kwao wether Kwa tamko au Kwa asili.
Sasa basi!!
Iwapo Mimi niliye mnufaika pekee wa Mali ya Wazazi wangu.
nikifariki!!
Mali Ile unarudi kwenye familia ya wahusika.
(Hapo sasa ndo Baba zangu wadogo wanapoingia kwenye hii issue)