Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.
kumbuka ni mpenzi wake wa muda mrefu hilo limetokea juzijuzi tu,wanawake?tamaa zitawatoa rohokavukavu nouma,halafu wewe mtu mwenyewe unaonekana ni mbulula hata general education huna,nani kakudanganya kama gono haliponi hospitali?yaani hata biology ya form two ndugu imekupiga chenga?ukakubali ushauri wa miti shamba?poor you kizazi cha mr shukuru kawambwa division five!!
Nenda hospitali mara moja utapata tiba ya combination ya broad spectrum (strong)antibiotics(cefixime,azthromycin,ceftriaxone ,ampiclox ,clamovid etc) utapona mara moja ukagonge kavu tena!!
kumbuka ni mpenzi wake wa muda mrefu hilo limetokea juzijuzi tu,wanawake?tamaa zitawatoa roho
Mkuu jaribu kuchunguza location ya mtoa ushauri - hapo ndipo utapata picha kamili!Uchawi sio lazima uwe na tunguri! Shikamoo babu
Mkuu jaribu kuchunguza location ya mtoa ushauri - hapo ndipo utapata picha kamili!
Dawa ya faśta ni kuchanganya maji moto ya betri ya gari na pilipili. Ukipaka fasta wadudu wa gono wanapata kizunguzungu na kiungulia then wanaRIP wakiuacha mstorongo na kinga thabiti ya kugegeda K zote zenye gono bila kupata maambukizi tena.
Maumivu yakizidi tumia kisu.
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.
Uchawi sio lazima uwe na tunguri!
Shikamoo babu
Mkuu jaribu kuchunguza location ya mtoa ushauri - hapo ndipo utapata picha kamili!
Alaaaaa!
Sasa huko anatibu,anatibiwa au ni mhudumu?
Kavukavu nouma,halafu wewe mtu mwenyewe unaonekana ni mbulula hata General education huna,nani kakudanganya kama gono haliponi hospitali?yaani hata biology ya form two ndugu imekupiga chenga?ukakubali ushauri wa miti shamba?Poor you kizazi cha Mr shukuru kawambwa division five!!
Nenda hospitali mara moja utapata tiba ya combination ya broad spectrum (strong)antibiotics(cefixime,Azthromycin,ceftriaxone ,Ampiclox ,clamovid etc) utapona mara moja ukagonge kavu tena!!
ukipata dawa za kizungu, sindikiza na hizi. mizizi ya mchogoma, mizizi ya papai dume na mizizi ya mgomba aina yoyote chemusha kwa pamoja ujaze dasani lita moja na nusu unywe kila wakati unapo sikia kiu ukianzakunywa asubuhi kufika jioni utakojoa vizr