Nimeambukizwa Gonjwa baya na Mpenzi wangu! Msaada na ushauri wa Haraka

Nimeambukizwa Gonjwa baya na Mpenzi wangu! Msaada na ushauri wa Haraka

Kachome ceftriaxone(injection) inachomwa kwenye mishipa ya damu
 
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.

Kachome ceftriaxone(injection) inachomwa kwenye mishipa ya damu. Utapona haraka sana kaka
 
Pole sana bro,
Njoo hospital utapewa dawa aina ya AZITHROMYCIN TABLETS(ZAHA),
Dosage=1x1x3.
Na ukape maarifa sa na biblia isemavyo.amina
 
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.

Gono linaambatana na UKIMWI.

Mjulishe asiendelee kulisambaza, awahi na wewe uwahi hospitali. Gono linatibika ila kama liliambatana na UKIMWI ndio majanga. Itabidi uanze kuishi kwa matumaini.
 
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.

Nenda hospital mapema pia mshauri na huyo mwenza wako kama hajapima aende akacheki afya yake
 
kavukavu nouma,halafu wewe mtu mwenyewe unaonekana ni mbulula hata general education huna,nani kakudanganya kama gono haliponi hospitali?yaani hata biology ya form two ndugu imekupiga chenga?ukakubali ushauri wa miti shamba?poor you kizazi cha mr shukuru kawambwa division five!!
Nenda hospitali mara moja utapata tiba ya combination ya broad spectrum (strong)antibiotics(cefixime,azthromycin,ceftriaxone ,ampiclox ,clamovid etc) utapona mara moja ukagonge kavu tena!!
kumbuka ni mpenzi wake wa muda mrefu hilo limetokea juzijuzi tu,wanawake?tamaa zitawatoa roho
 
Mtoa pole sana!nenda hospitali tiba ipo kwa muda mfupi utapona kabla ya ugonjwa kuwa sugu.
Kwa upande wa pili si busara kushatumiana wote ni wanadamu wenye makosa kila mmoja akifunuliwa tuyaone aliyotenda patakalika hapa,
sio vyema.
pole mkuu next time uwe makini zaidi!
 
ukipata dawa za kizungu, sindikiza na hizi. mizizi ya mchogoma, mizizi ya papai dume na mizizi ya mgomba aina yoyote chemusha kwa pamoja ujaze dasani lita moja na nusu unywe kila wakati unapo sikia kiu ukianzakunywa asubuhi kufika jioni utakojoa vizr
 
Dawa ya faśta ni kuchanganya maji moto ya betri ya gari na pilipili. Ukipaka fasta wadudu wa gono wanapata kizunguzungu na kiungulia then wanaRIP wakiuacha mstorongo na kinga thabiti ya kugegeda K zote zenye gono bila kupata maambukizi tena.

Maumivu yakizidi tumia kisu.

Aisee!!! we dr. ni noma.
 
Baada ya kutoka Chuoni anakosomea Alikuja siku mbili kabla ya krsimass vile nilikuwa nimemisi tulishinda tukiduu! Alivo ondoka tangu siku ya boxing day, nimeanza kuugua nahisi maumivu makali sana wakati wa kukojoa kuanzia jana mpaka sasa nakojoa usaha kabisa rafiki yangu kaniambia Ni Gono Tayari na akaniambia kawaida gono huwa haliponi hospital mpaka dawa za kienyeji, Naombeni ushauri jamani kuna ukweli katka hili? Pengine nitumie dawa gani kwa wanao ufahamu ugonjwa huu? Naomba kuwasilisha.

wahi hospital haraka tena uombe mung asijekua kakuachia ngoma mana sio mwaminifu huyo.Na ukiendelea nae basi mwambie na yeye akachekiwe mana haitakua na maana kama we ukpona then yeye ana kaugonjwa
 
Uchawi sio lazima uwe na tunguri!
Shikamoo babu

Hapo sijui umenitukana au umenisifia...

Nakumbuka nshakwambia staki mshkamoo wako. kama vipi tutafutane PM.
 
Kavukavu nouma,halafu wewe mtu mwenyewe unaonekana ni mbulula hata General education huna,nani kakudanganya kama gono haliponi hospitali?yaani hata biology ya form two ndugu imekupiga chenga?ukakubali ushauri wa miti shamba?Poor you kizazi cha Mr shukuru kawambwa division five!!
Nenda hospitali mara moja utapata tiba ya combination ya broad spectrum (strong)antibiotics(cefixime,Azthromycin,ceftriaxone ,Ampiclox ,clamovid etc) utapona mara moja ukagonge kavu tena!!

Mwekundu big up, ila huo ushauri hiyo last statement haaa akipona akagonge tena?!?
 
ukipata dawa za kizungu, sindikiza na hizi. mizizi ya mchogoma, mizizi ya papai dume na mizizi ya mgomba aina yoyote chemusha kwa pamoja ujaze dasani lita moja na nusu unywe kila wakati unapo sikia kiu ukianzakunywa asubuhi kufika jioni utakojoa vizr

Hii sio sumu kweli?
 
Back
Top Bottom