Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Sina comment zaidi ya kuendelea kula darasa kutoka kwako DR Mambo Jambo
 
Hivyo virusi waliviona kwenye vipimo vyao??
Kama hawajaviona basi ukimwi(HIV) ni scam!!

Mbona virusi vya magonjwa mengine vinaonekana kwenye electronic machines?
 
mkuu vipi ulifanikiwa kupata matokeo negative?
 
Huyo jamaaa na wewe ni marafiki so uko hapa unataka uwapotezee watu umeandika hii post kama tangazo hili swala kupoteza kwenye issue serious kama ukimwi kuwa makini wewe jamaaa yako...

Pia tunaomba mwenye number ya waziri ummy ampigie amkamate tapeli mwenzako


Pia jamiii forum uzi kama hizi ni maksdi zinawekwa kuwatapeli watu.....yaani hapa mwandishi ni moja ya tapeli anafanya tangazo la kitapeli kwenye Community ya wasomi

Ndugu mwenye hiv ukisoma post hii tafadhari jua muandishi ni tapeli na hiyo aliyemtaja ni tapeli pia.....sehemu sahihihi ni hospital sio kwenye vijiwe mtaaacha dawa kisa matapeli kama hawa wa mitandaoni
 
Dawa zipo mkubwaa.
Ishu kuwapata sasa waponyeshaji, wengi wanaogopa kuuwawa kwasababu inajulikana gonjwa ni la wakubwa kupiga pesa , ni biashara mkubwa, ila amini DAWA ZIPO.
 
Dawa zipo mkubwaa.
Ishu kuwapata sasa waponyeshaji, wengi wanaogopa kuuwawa kwasababu inajulikana gonjwa ni la wakubwa kupiga pesa , ni biashara mkubwa, ila amini DAWA ZIPO.
Tuwekee hapa listi ya hao wanaotibu mkuu
 
Walisema daw itapatikan December mwaka jana hadi leo kimyah acha Tusubr

Its touched story
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ