Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Ok Nitakujibu,

kwanza kuna PrEP na kuna PEP...

PrEP ni Pre Exposure Prophylaxis
PEP ni Post Exposure prophylaxis

PrEP hutumika kabla ya mtu kuwa exposed yaani kwa mfano unaenda kufanya Huduma ambayo unahisi huduma hiyo itakuweka karibu zaidi ya kupata maambukizi huwa unashauriwa kutumia PrEp masaa 2 mpaka 24 kabla ya huduma hiyo...(wanaotumia sana wanajiuza na watumishi wa afya kwa huduma ambazo ni delicate na lazma zifanyike)

Hii huzuia maambukizi yasitokee simply kama nilivyosema awali kuna process ambazo Kirusi hupitia kabla ya kusambaa na kushambulia cells...PrEP ni hizo hizo ART unapewa kwenda kublock hizo process Zisifanyike..
Nikuibie siri tu kati ya Virus wote HIV ni kirusi kilicho weak sana kwahyo unapozuia baadhi kwenye hatua ya mwanzoni unawafanya washindwe kuendelea na kujibadilisha hivyo wanakuwa weak n a mwili unafanya engafing kutumia macrophages na kuwaondoa kwakuwa wanakuwa hawana nguvu wakiwa RNA ...

Kwahiyo ili asifike kwenye Advance stages ndo maana kuna masaa ya hiyo dawa kufanya kazi kwa PrEP nafikiri unjua kuwa ni masaa mawili mpaka 24 kabla ya kazi na inashauriwa tena baada ya kazi apate PEP..

SASA PEP inatolewa baada ya Mtu kuwa exposed na matukio au huduma ambazo anahisi zimemuweka kwenye hatari ya kuambukizwa...
Na hii ina muda ni mpaka masaa 72 baada ya kuwa exposed..
Jinsi inavyofanya kazi ni sawa na Prep..na ni sawa na ART..
una swali..?
Sina comment zaidi ya kuendelea kula darasa kutoka kwako DR Mambo Jambo
 
Nilivyofika hospital walivyonipima na wao pia wakagundua ilo tatizo wakanipa matumaini then wakaniambia inabid niwahi kuanza dawa ivyo kesho kutu uje tukuanzishie dawa ndio nikaanza dawa,

walinihasa sana kwamba ni vyema nianze dawa mapema kabla ya virusi havijazaliana kwa wingi mwilini
Hivyo virusi waliviona kwenye vipimo vyao??
Kama hawajaviona basi ukimwi(HIV) ni scam!!

Mbona virusi vya magonjwa mengine vinaonekana kwenye electronic machines?
 
Dah ni vile tu bado kibunda hakijajiSet sawasawa, Kinachozid kunipa imani na tumaini ni vile watu wanavyopona totally from POSITIVE to negative na wanapimwa tena baada ya miez ad sita still wapo negative wamepona.. Tatizo wapigaji ni wengi sijui uwa anawaandaa watu wake anaowajua yey sielewi
mkuu vipi ulifanikiwa kupata matokeo negative?
 
Habari wanaJF, mimi ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijali sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya basi nawahi dawa za PrEP.

Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.

Nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, hivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. Sasa mwezi Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na huwa tunacheki afya, sasa mwezi huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwezi May nikamla then maisha yakaendelea.

Mwezi Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano hapo hapo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.

Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's hadi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. Next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...

Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha hili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jamani waungwana kuna yeyote mwenye hakika na hili jambo hata ndugu yake alipata kupona kwa huyu docta maana kichwa kinawaka sahizi sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).

Wajameni hivi ili suala lina ukweli dawa hiyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii hata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana nina wiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakini nahisi hali ya kuzichoka tayari.

Nawasilisha:
Huyo jamaaa na wewe ni marafiki so uko hapa unataka uwapotezee watu umeandika hii post kama tangazo hili swala kupoteza kwenye issue serious kama ukimwi kuwa makini wewe jamaaa yako...

Pia tunaomba mwenye number ya waziri ummy ampigie amkamate tapeli mwenzako


Pia jamiii forum uzi kama hizi ni maksdi zinawekwa kuwatapeli watu.....yaani hapa mwandishi ni moja ya tapeli anafanya tangazo la kitapeli kwenye Community ya wasomi

Ndugu mwenye hiv ukisoma post hii tafadhari jua muandishi ni tapeli na hiyo aliyemtaja ni tapeli pia.....sehemu sahihihi ni hospital sio kwenye vijiwe mtaaacha dawa kisa matapeli kama hawa wa mitandaoni
 
Habari wanaJF, mimi ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijali sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya basi nawahi dawa za PrEP.

Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.

Nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, hivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. Sasa mwezi Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na huwa tunacheki afya, sasa mwezi huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwezi May nikamla then maisha yakaendelea.

Mwezi Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano hapo hapo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.

Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's hadi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. Next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...

Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha hili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jamani waungwana kuna yeyote mwenye hakika na hili jambo hata ndugu yake alipata kupona kwa huyu docta maana kichwa kinawaka sahizi sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).

Wajameni hivi ili suala lina ukweli dawa hiyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii hata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana nina wiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakini nahisi hali ya kuzichoka tayari.

Nawasilisha:
Dawa zipo mkubwaa.
Ishu kuwapata sasa waponyeshaji, wengi wanaogopa kuuwawa kwasababu inajulikana gonjwa ni la wakubwa kupiga pesa , ni biashara mkubwa, ila amini DAWA ZIPO.
 
Dawa zipo mkubwaa.
Ishu kuwapata sasa waponyeshaji, wengi wanaogopa kuuwawa kwasababu inajulikana gonjwa ni la wakubwa kupiga pesa , ni biashara mkubwa, ila amini DAWA ZIPO.
Tuwekee hapa listi ya hao wanaotibu mkuu
 
Walisema daw itapatikan December mwaka jana hadi leo kimyah acha Tusubr

Its touched story
 
Habari wanaJF, mimi ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijali sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya basi nawahi dawa za PrEP.

Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.

Nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, hivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. Sasa mwezi Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na huwa tunacheki afya, sasa mwezi huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwezi May nikamla then maisha yakaendelea.

Mwezi Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano hapo hapo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.

Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's hadi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. Next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...

Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha hili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jamani waungwana kuna yeyote mwenye hakika na hili jambo hata ndugu yake alipata kupona kwa huyu docta maana kichwa kinawaka sahizi sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).

Wajameni hivi ili suala lina ukweli dawa hiyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii hata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana nina wiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakini nahisi hali ya kuzichoka tayari.

Nawasilisha:
Pole sana
 
Back
Top Bottom