Don Billionea
Senior Member
- Jul 15, 2018
- 152
- 204
- Thread starter
- #141
Kaka nashukuru kwa faraja, nimeona wengi wamefutiwa mistari miwili na wamerudi kuwa negative again, Hofu yangu isije ikawa dawa yake inakidanganya kipimo kuonesha mstari mmoja kwa miez kadhaa alafu baadae POSITIVE inarudi kama mwanzo itakuwa depression zaid.POLE SANA MKUU.
Mungu atakuponya. Jaribu dawa ya Dokta msigwa.
Ukitumia usipo pona Nitakurudishia laki mbili yako.
Uwe na Imani.
Usitende dhambi Tena