Don Billionea
Senior Member
- Jul 15, 2018
- 152
- 204
- Thread starter
-
- #141
Kaka nashukuru kwa faraja, nimeona wengi wamefutiwa mistari miwili na wamerudi kuwa negative again, Hofu yangu isije ikawa dawa yake inakidanganya kipimo kuonesha mstari mmoja kwa miez kadhaa alafu baadae POSITIVE inarudi kama mwanzo itakuwa depression zaid.POLE SANA MKUU.
Mungu atakuponya. Jaribu dawa ya Dokta msigwa.
Ukitumia usipo pona Nitakurudishia laki mbili yako.
Uwe na Imani.
Usitende dhambi Tena
Kaka ni ktk kuutafuta uzima, natapatapa na uponyaji ambao ni ndoto kwa mujibu wa wengi. ninampenz natarajia kuoana nae mwakan. Ili gonjwa halinisumbui mwilini ila kisaikolojia linaniumizaUmeambukizwa UKIMWI juzi tu unapata nguvu ya kuandika humu, ebu acha kutuchezea akili bhan sisi siyo watoto wadogo
Uyu ndie ninayemuuluzia kuwa dawa yake inachange to negative forever au ni temporary. ela yangu ya ngama nipo mkoani naulli iende irudi mixa dawa then matokeo ya negative yatokee kwa mwez au miez kadhaa na kurudi positive ndio itakuwa kisangaHapana, ye ndo anadai kuwa anatibu kabisa.
Na amepeleka maombi yake Nimr ila wameshindwana kuthibitishana
ndio napambania broMaisha ni Vita broo..pambana
Muulize tu mwenyewe direct [Name] Msigwa MTAFITIUyu ndie ninayemuuluzia kuwa dawa yake inachange to negative forever au ni temporary. ela yangu ya ngama nipo mkoani naulli iende irudi mixa dawa then matokeo ya negative yatokee kwa mwez au miez kadhaa na kurudi positive ndio itakuwa kisanga
Bro uyo hawez elewa kama hayajamfika. na sio lazima iwe H.I.V kuna mengi Organs failures and so on visikie kwa mwenzio sio kwako.Kwaio unafurahi.?
mkuu sina hakika kama walioviunda vipimo waliwalenga malayaKitendo Cha kupimapima Ni kwamba wee nimalya
Nashukuru mkuu, nitajitahid kununua na kuitumia lakin nitaendelea na ARV'S adi pale diagnosis zitakaposema it's okay kuacha maana nisije kuwa kichwa ngumu nikaacha ARV mapema na kujiweka pabaya zaidPOLE SANA MKUU.
Mungu atakuponya. Jaribu dawa ya Dokta msigwa.
Ukitumia usipo pona Nitakurudishia laki mbili yako.
Uwe na Imani.
Usitende dhambi Tena
usiwaze sn kiongozi.Hapana mkuu, hisia zenyew sina, huwez amini tangu niwe positive UUME wangu umesimama siku ya tano baada ya kupata faraja za mitandaoni kidogo ata asubuhi nikiamka ni imelala imesiz.
Huu ugonjwa usikie kwa mwenzio sio mwilini mwako. Siumwi chochote ila akili inaumia
kwenye kituo ambacho nilichoanza dawa tu ni vhakawaida ila kuna wachukua dozi zaid ya 2,500. Dah inafarini sometimes kuona tupo wengi ila ndio hauwajui ni nani na nani kila mtu anakataa anasema hana apo ndio unajihis kama upo alone.usiwaze sn kiongozi.
kuna weeengi sana wenye shida hio. mi kuna wkt nazani hata zile takwimu tunazosomewa hazina ukweli, wahanga ni wengi kuliko takwimu (labda wanataka wasilete panic cjui).
wengine wanajijua na wengi hawajijui, wewe ni shujaa maana tayari unajijua.
kikubwa ww jitunze na ufuate unayoambiwa hospitali.
Ukiendekeza ngono lazima ufe mapema.Usipopenda ngono ndio haufi?
Usimwambukize mtoto wa watu ukimwi kufa mwenyewe maana uliyataka mwenyewe.Kaka ni ktk kuutafuta uzima, natapatapa na uponyaji ambao ni ndoto kwa mujibu wa wengi. ninampenz natarajia kuoana nae mwakan. Ili gonjwa halinisumbui mwilini ila kisaikolojia linaniumiza
Shkamoo mkuu!Wewe!
Ulianza kutumia ARV za nini kama tayari afya yako sio mgogoro!?
Yaani ungeishi kawaida hata usingeugua kabisa!!!
Aliekuambia upime kwa ajili ya Nini!?
Kaka ndio maana ninaulizia dawa za uyu mzee isije ikawa shuduha za kutengeneza wanapima mstari mmoja alaf baada ya muda unarudi wa pili nitakuwa hatarini zaid. heri nitemane na uyu binti wa watu mapema iwezekanavyo kabla sijampa jukumu zito ambalo hakulitarajia.Usimwambukize mtoto wa watu ukimwi kufa mwenyewe maana uliyataka mwenyewe.
Mtafte aliye kuambukiza ndiyo muoane nae
hatari ni vile unavyotajwa, Ukizingatia dawa unaspend zaid ata ya yule mwenye tatizo la moyo, blood pressure, ini, figo macho n.k.Ukiendekeza ngono lazima ufe mapema.
Ukimwi bado ni ugonjwa hatari sana duniani,
Ukimwi ni matesoooo.
hatari ni vile unavyotajwa, Ukizingatia dawa unaspend zaid ata ya yule mwenye tatizo la moyo, blood pressure, ini, figo macho n.k.Ukiendekeza ngono lazima ufe mapema.
Ukimwi bado ni ugonjwa hatari sana duniani,
Ukimwi ni matesoooo.