Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Hujaharisha wala kulewa?
Wakuu sio lazima awe MSIGWA, mwenye experience ya mponyaji yeyote wa uyu mdudu anijuze,

sometimes naWish kama siku zirudi nyuma ifike mwez wa saba nimeze PEP mapema ila ndio ivyo nimeshachelewa.

now ndio nameza kidonge cha ARV iki ni kidonge cha nane tangu nianze kumeza.

uzuri hazijaniletea side effects zozote zaid ya kuhis kizunguzungu tu cha muda mfupi but nahis ni pressure ya mapokeo
 
Habari wanaJF, mimi ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijali sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya basi nawahi dawa za PrEP.

Dawa za PrEP nimemeza round mbili yaani 2017, 2020 baada ya kucheza rough.

Nilikuwa napima maambukizi na mwenza wangu mara kwa mara, hivi sasa mwenza wangu anamalizia masomo ili mwakani July tuanze kuishi pamoja. Sasa mwezi Agosti mwaka huu nimekutana na mwanamke ambae tunameet na kusekx na huwa tunacheki afya, sasa mwezi huo nikapuuza kwakuwa tulicheki afya mwezi May nikamla then maisha yakaendelea.

Mwezi Octoba juzi tu nikajaribu kupima peke yangu ghetto nikakutana na mistari miwili CONTROL na 1, nilipima zaid ya mara tano hapo hapo gheto inasoma mistari miwili. Dah pressure ikawa kubwa.

Nikaenda Hospital napo inaonesha nipo POSITIVE, wakanianzishia dawa za ARV's hadi sasa ninamaliza wiki tangu nianze dozi za ARV's. Next wiki wananianzishia na dozi ya miezi sita ya Anti-T.B...

Juzi nipo YouTube nakuta kuna shuhuda nyingi sana kwamba kuna Mtaalamu anaponesha hili janga from POSITIVE to NEGATIVE anaitwa TR. MSIGWA, jamani waungwana kuna yeyote mwenye hakika na hili jambo hata ndugu yake alipata kupona kwa huyu docta maana kichwa kinawaka sahizi sielewi, nikapata mawasiliano yake akaniambia dozi ni shilling 280k ya siku 45 inaitwa (4A9).

Wajameni hivi ili suala lina ukweli dawa hiyo ya Asili inasaidia kwa yeyote aliyawahi pata experience hii hata kwa ndugu yake kuhusu uyu mtaalamu TR. MSIGWA na dawa yake ya 4A9 maana nina wiki tu tangu nianze kumeza ARV's lakini nahisi hali ya kuzichoka tayari.

Nawasilisha:
Pole.
Wakati tunakuwa alikuwepo DR. Matunge anajitangaza kwenye magazeti anatibu HIV kipindi hicho ARV bado hazijaja.
Sokuwahi kusikia au kumuona mtu aliepona.
Sasa matapeli ni wengi kwenye huu ugonjwa. Mpaka sasa haijathibitika dawa inayotibu HIV.
Fuata ushauri wa madaktari.
Utaishi miaka mingi tu , tena wazina watatangulia.
Kuna issue ya kusukari, cancer, pressure yaani hizo uchukui round kuliko vvu.
 
Umewahi kuumwa...sana namaanisha kuumwa Hadi watu wakahisi kesho hutoboi...baada ya kujigundua umeathirika....?

Kama jibu ni hapana Kuna dawa unaweza kujaribu...!​
 
Uyu ndie ninayemuuluzia kuwa dawa yake inachange to negative forever au ni temporary. ela yangu ya ngama nipo mkoani naulli iende irudi mixa dawa then matokeo ya negative yatokee kwa mwez au miez kadhaa na kurudi positive ndio itakuwa kisanga
Nakushauri kama una muda zaidi kasome kuhusu maana ya hiyo mistari na inapima nini?

Maana nimeshuhudia mara kadhaa text zako zimekazia suala la mistari utadhani mostari ndio wadudu🤔

Ona mistari sio wadudu, bali mistari ni kinga yako ya mwili. Upo hapo.

Labda ninene kwa mifano: Tetekuwanga hushambulia (ukimpima kinga itasoma positive) mtu na akapambana nayo akatengeneza kinga ya maisha basi ataendelea kuwa positive kwa kinga yake hata umpime miezi au miaka kadhaa huko.

Ndiyo maana aliyepata chanjo ya taifodi akipima kwa njia za kinga inatakiwa majibu yake yazingatie kwamba anayo chanjo na sio ugonjwa.

So nnawaza hiyo njia yako ya kitaka mistari ipotee inaw3za isiakisi hali halisi ya virusi mwilini. Labda utumie vipimo vya kisasa kama HIV viral load ambacho kitapima wingi wa virusi mojakwamoja kwenye damu.

Kijana hebu kasome zaidi kuugua ukimwi ni nini, na kupona ukimwi ni nini. Vipimo vya ukimwi vipoje na vinapima nini. Kuwa mwanasayansi na utumie akili maana uko nayo
 
kwaiyo kwenye mambo ya kiroho mmeambiwa kuwa hakuna dawa.
Hivi unaelewa maana ya imani lakini.

Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasiyoonekana

Kisayansi tiba ya Ukimwi, cancer n.k haipo au ipo lakini wenye biashara zao wanazificha.

Lakini unachokiona kibinadamu hakiwezekani kiroho kinawezekana, utapona ukimwi na cancer kabisa bila kunywa dawa ila tu kwa imani ya Ki-Mungu
 
Dawa gan mkuu. Dm me pls
Kuna mti mmoja wamasai wanauamini sana na ni mzuri pia...unaitwa mfuleta Kwa watu wa handeni wanaufahamu sana kama unaweza kupata mizizi yake Kisha ukauchemsha na kuku/nyama ya kondoo. Ukiunywa Kwa siku 7 unaweza kukusaidia {Kwa kuku awe kuku alie nona asiwe kuku wa kisasa}

Tafuta huo mzizi...tumia uje ulete mrejesho mkuu.

Ila hakikisha hujawahi kuumwa Hadi kuzidiwa kabisa...!

Ukitumia dawa hiyo unaweza kutumia na mwingine yeyote ila asitumie mama mjamzito hata kama mimba yake ni changa. Ata zaa kabla ya wakati😭😭😭​
 
Hivi unaelewa maana ya imani lakini.

Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasiyoonekana

Kisayansi tiba ya Ukimwi, cancer n.k haipo au ipo lakini wenye biashara zao wanazificha.

Lakini unachokiona kibinadamu hakiwezekani kiroho kinawezekana, utapona ukimwi na cancer kabisa bila kunywa dawa ila tu kwa imani ya Ki-Mungu
unasali kanisa gan mkuu.
 
Kuna mti mmoja wamasai wanauamini sana na ni mzuri pia...unaitwa mfuleta Kwa watu wa handeni wanaufahamu sana kama unaweza kupata mizizi yake Kisha ukauchemsha na kuku/nyama ya kondoo. Ukiunywa Kwa siku 7 unaweza kukusaidia {Kwa kuku awe kuku alie nona asiwe kuku wa kisasa}

Tafuta huo mzizi...tumia uje ulete mrejesho mkuu.

Ila hakikisha hujawahi kuumwa Hadi kuzidiwa kabisa...!

Ukitumia dawa hiyo unaweza kutumia na mwingine yeyote ila asitumie mama mjamzito hata kama mimba yake ni changa. Ata zaa kabla ya wakati[emoji24][emoji24][emoji24]​
Wengi wameniDM kuhusu tanga kuna dawa sana za hili janga, December naingia kila kona kujaribu bahati yangu. nikishindwa nimeshindwa
 
Back
Top Bottom