Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

[emoji16][emoji16]sisi wauza hardware kidogo afadhari.
Kiboko yetu tukiambiwa tukae lock down.
Asikwambie mtu kukaa nyumbani baba,mama watoto kunachoshaaaa.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Just wait, muda si mrefu hakutakuwa na mtu wa kujenga. Uchumi unaenda kuanguka vibaya sana endapo gonjwa hili litaendelea kwa miezi mitano ijayo duniani. Uchumi utaanguka vibaya, biashara karibu zote zitaanguka, tunaweza rudi kwenye kubadilishana kitu kwa kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Germany [emoji629] watu zaidi ya 2 million wamepoteza kazi.
Lakini uzuri wenzetu wanalipwa 60% ya mshahara wao wa kawaida na hii wanalipwa na wizara ya kazi(jobless money)
Hata hiyo nayo sio sustainable Endapo watu wengi zaidi watapoteza kazi. Huwezi kuwalipa kwa muda mrefu watu kama hamna uzalishaji, hiyo wizara nayo inaweza kufilisika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly! Kama covid19 itakuwepo kwa miezi mitano zaidi, hakuna mtu atakayeacha kuguswa na pigo kubwa la kiuchumi, hadi watumishi wa umma watapata pigo ambalo hawajali shuhudia miaka mingi iliyopita. Hakuna sekta itakayobaki salama, isipokuwa wazalishaji chakula pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu athari za corona tunazopata sasa ni matokeo ya korona kuenea huko duniani, ikienea zaidi hapa TZ hali itakuwa mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: amu
Ukisikia CORONA shikamoo ndiyo hii,, kila kimeharibika ila kwa sisi wajasiriamali wadogo huwezi kuona ila wakubwa wenye mitaji mikubwa balaaa,, ni kilio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: amu
Poleni sana..angalau Una bi mkubwa wa wa kurudisha mpira Kwa kipa..

Sasa Mr nae kashindwa kuokoa jahazi?
😂😂😂😂we jamaa, nimecheka kijinga sana, si wengine ukirudisha mpira nyuma unajifunga, kipa hayupo wa kumrudishia lazima uanze kati mpira usonge mbele. Kanuni moja tu.
 
Wapo huko kwenye mkaa wa 8k ndugu? Nina kahifadhi hapa natafuta fursa
 
Kwanini unasema ni tapeli?
Nilienda pale na washkaji zangu wawili. Tumefika tunaoneshwa fomu, fomu inaonesha gharama ya kumkuza kukuchotara ni 7,000 kisha wao wanaenda kumuuza 14,000. Faida 7,000 ndio ya mwekezaji. Tukatoka nje wanauza kuku hapohapo. Nikamuuliza sista anaeuza kuku bei gani akaniambia kuku 6,500 chotara ameshakuwa packaged. Nikamuuliza hii ni bei ya mwanachama au? Akaniambia hapana ni bei ya wote. Tukawasha gari tukaamsha hapohapo.

Lingine ni kuwa hawa watu wamebadilisha jina. Kabla walikuwa wanaitwa TM Agribusiness na walikuwa wana 'mashamba' unawekeza kwa eka wanalima wakivuna unapata faida hivihivi 'mara mbili'. Bimkubwa aliinvest hapo wakazungushwa zaidi ya mwaka hamna returns zozote bahati nzuri kuna insurance hivyo waliweza kupata pesa zao. Kwa hii ya pili ipo pia hivyo natumai watawalipa mambo yatapoenda mrama baada ya kuwazungusha. Hii Mr. Kuku imesajiliwa Febuari mwaka huu ukitazama kwenye registration zao za Brela.

Lastly mkataba wao ni wa upande mmoja. Shahidi wako na mwanasheria wa mkataba ni wa kwao. Hivyo kiujumla kama hili jambo likienda kortini upande wao una nguvu kushinda wewe. Kamwe si mkataba wa kuingia iwapo uoande mmoja una nguvu kushinda wewe katika kuusimamia mkataba.
 
Hii nikwa kila mtu aisee mi nna broiler zimeshakua wateja hakuna na hela ya chakula karibu itaniishia yaan nawaza kwani nikiwatoa nje hawatasavaivu mana siwez endelea kulisha.
Hii ni awamu ya pili ya kwanza ela nliona tamu sasa karona hii kubabeki kama nilieeeee.
 
Ila we jamaa umejua kunichekesha Broiler uwatoe nje [emoji119][emoji119]
 
Pole mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfumo wa maisha utabadilika kwa dunia nzima.

Na huu ugonjwa wafanyabiashara lazima utuache na alama ya MAUMIVU.
 
Hii daladala... macho akili mawazo vyote viko hapo, nazichanga...nikiwa tayari nitakuja kupata ushauru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…