Just wait, muda si mrefu hakutakuwa na mtu wa kujenga. Uchumi unaenda kuanguka vibaya sana endapo gonjwa hili litaendelea kwa miezi mitano ijayo duniani. Uchumi utaanguka vibaya, biashara karibu zote zitaanguka, tunaweza rudi kwenye kubadilishana kitu kwa kitu[emoji16][emoji16]sisi wauza hardware kidogo afadhari.
Kiboko yetu tukiambiwa tukae lock down.
Asikwambie mtu kukaa nyumbani baba,mama watoto kunachoshaaaa.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Hata hiyo nayo sio sustainable Endapo watu wengi zaidi watapoteza kazi. Huwezi kuwalipa kwa muda mrefu watu kama hamna uzalishaji, hiyo wizara nayo inaweza kufilisikaGermany [emoji629] watu zaidi ya 2 million wamepoteza kazi.
Lakini uzuri wenzetu wanalipwa 60% ya mshahara wao wa kawaida na hii wanalipwa na wizara ya kazi(jobless money)
Exactly! Kama covid19 itakuwepo kwa miezi mitano zaidi, hakuna mtu atakayeacha kuguswa na pigo kubwa la kiuchumi, hadi watumishi wa umma watapata pigo ambalo hawajali shuhudia miaka mingi iliyopita. Hakuna sekta itakayobaki salama, isipokuwa wazalishaji chakula pekeeHili balaa ni suala la how long will the crisis exist
BUT
Every body will experience the pain
Walianza mashirika ya ndege
Wakaja makampuni ya bahati nasibu
Wakaja sekta ya utalii na chain yote
Sasa ni ma hotel ya ndani na waendesha shughuli za masherehe
Wasanii, Wanasoka (hasa hasa Ulaya) wameanza kuumia (japo wao wana saving)
Wakati huo huo wajasiriamali wadogo wadogo kama wale wa minadani n.k.
Sekta binafsi kama shule binafsi na staffs wote, vyuo binafsi, daladala n.k.
Tutaenda na mwisho watumishi wa Serikali wanaweza kuambiwa wapunguziwe % flani ya mshahara
Wenye nyumba za kupanga nao wameanza kuambiwa wawe wavumilivu kwenye kukusanya kodi
Hata hao wa hardware na wengine ambao kwa sasa wapo stable wataumia maana uwezo wa watu kununua utapungua, na vipaumbele itakuwa mahitaji ya msingi kama msosi ambapo watu watakuwa hawana hela za kununua
Najaribu kuwaza, mwakani tunaweza tusiwe na wanafunzi wa kidato cha kwanza, cha tano na wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu athari za corona tunazopata sasa ni matokeo ya korona kuenea huko duniani, ikienea zaidi hapa TZ hali itakuwa mbaya.Mkuu kumbuka sasa hivi vilio vyote unavyoviona humu, corona haijamaliza hata mwezi hapa nchini na wala hatujaingia lockdown. Na ukweli ni kwamba, hata dawa ya corona ipatikane leo, itachukua si chini ya mwaka kwa hali kuanza kurudi kama ilivyokua mwanzo. Sasa niambie ni wafanyabiashara wangapi wanaweza kujiendesha kwa kipindi hicho bila income yoyote?
😂😂😂😂we jamaa, nimecheka kijinga sana, si wengine ukirudisha mpira nyuma unajifunga, kipa hayupo wa kumrudishia lazima uanze kati mpira usonge mbele. Kanuni moja tu.Poleni sana..angalau Una bi mkubwa wa wa kurudisha mpira Kwa kipa..
Sasa Mr nae kashindwa kuokoa jahazi?
Wameadimika kweli, walima matikiti jukwaani.Corona imewafanya mamotivesheni spika wakae kimya kabisa.
tunaijuaKuna biashara huwa haikosi soko, hata iweje, unaijua?
Wapo huko kwenye mkaa wa 8k ndugu? Nina kahifadhi hapa natafuta fursaHuku nilipokuja nilitaka niingiwie na tamaa nikicheki mkaa gunia buku 8k, limao mmoja shambani bei yake ni shilling 10 ya kitanzania. Kuku ni kama bei ya singida tu.
Nikawaza nikawazua nikajisemea nikomae ni kitu kimmoja tu kilichonitoa dar na si kingine bali 'mawe'
Maana nikitaka vyote nitarudi kulekule kwa mwanzo.
Kwaiyo kama usemavyo ni vizuri ku deal na kitu kimoja tu.
Nilienda pale na washkaji zangu wawili. Tumefika tunaoneshwa fomu, fomu inaonesha gharama ya kumkuza kukuchotara ni 7,000 kisha wao wanaenda kumuuza 14,000. Faida 7,000 ndio ya mwekezaji. Tukatoka nje wanauza kuku hapohapo. Nikamuuliza sista anaeuza kuku bei gani akaniambia kuku 6,500 chotara ameshakuwa packaged. Nikamuuliza hii ni bei ya mwanachama au? Akaniambia hapana ni bei ya wote. Tukawasha gari tukaamsha hapohapo.Kwanini unasema ni tapeli?
Location wapi nije nikuungishe, hii Corona tunakaa sana ndani inabidi stock iwepo.
Tafadhali tupe location nije ninywe JD ama Jagger Master......
sijui kama kuna kuku choma kienyeji jirania ama kitimoto choma na pilipili ya jani maana ndio vilevi vyangu
Hii nikwa kila mtu aisee mi nna broiler zimeshakua wateja hakuna na hela ya chakula karibu itaniishia yaan nawaza kwani nikiwatoa nje hawatasavaivu mana siwez endelea kulisha.
Hii ni awamu ya pili ya kwanza ela nliona tamu sasa karona hii kubabeki kama nilieeeee.
Mwezi wa kwanza galfriend wangu alianguka akiwa anaenda dukani akavunja Mkono, ni wiki ya pili tu tangu nitoke kulipa kodi ya ofisini kwangu na ninapoishi. Nikahangaika kupata fedha ya kwenda kumtibia nikafanikiwa kiasi fulani akatiwa POP, nimemuuguza kwa miezi miwili mpaka alipotoa POP, nikamwambia aende kwake kwanza angalau nipate nafasi ya kukusanya kodi ya ofisini, mwezi ujao.
Biashara mwezi wa tatu ikawa ya kuvuta na kamba, inapatikana pesa ya kula tu inaisha. Hamna kusave wala nini, mara upande wa pili kidudu kikashika speed hapa kwetu. Sasa hivi nimeamua itakavyokuwa na iwe tu aisee.
Ngoja Corona iishe maanake tunaweza kuchapwa viboko na wajomba!
Hii daladala... macho akili mawazo vyote viko hapo, nazichanga...nikiwa tayari nitakuja kupata ushauruHii yako ya kujaribu hiki na kile kwa wakati mmoja nimeshafanya sana uko nyuma na Mara zote nimedondokea pua mkuu.
Sababu ya kufanya kitu zaidi ya viwili nimejikuta gari iliyokuwa ikibeba abiria toka simu 2000 to gongolamboto ipo juu ya mawe kwa miezi kadhaa sasa na uwezo wa kuitoa sina, najikusanya kidogo kidogo irudi njiani.
Sasa hivi na komaa na kitu kimoja tu ambacho kinaonekana kwenye avater yangu.( biashara ya mawe ya dolomite)
hata wahenga walituasa
Mshika mawili mmoja humponyoka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani lkn, hivi yule anaefuga pig kwa mfumo kama wa Mr Kuku ni nani?Niunganishe hapo kwenye limao sokoni zimekuwa deal