Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Mkuu soma vizuri, Sijasema kumiliki bar na hotel, nimesema mfanyakazi wa hotel (hapa naongelea jamaa ameajiriwa, ina maana tayari hana kazi) halafu anamiliki bar huko mtaani ina maana hapa ana kitega uchumi wakati huo huo ana supply bidhaa kwenye hotel n.k. By the way huo ulikuwa ni mfano tu

Ngoja nikupe mfano mwingine basi

Mmiliki wa stationary inayofanya kazi na mashule, wakati huo huo anaonesha mpira kwenye vibanda umiza vya soka la Ulaya na bongo wakati huo huo ana maduka ya bidhaa kutoka China, wakati huo huo ana Ukumbi wa sherehe, je huyu diversification itamsaidiaje kwa sasa?

Nasisitiza diversification kiuchumi inasaidia lakini si katika kesi ya sasa, hii ni crisis ya kidunia inagusa kila eneo, mengine yanaguswa kwa kiwango kikubwa sana (mfano sector ya aviation na utalii) na mengine yanaguswa kwa kiwango kidogo mfano biashara za hardware (kwa sasa, iki chukua muda mrefu na zenyewe zitakuwa chali)

Sent using Jamii Forums mobile app
systematic risk cannot be minimized by diversification only unsystematic risk can be minimized by diversified portifolio.
Corona ni macro economic factor it affects all industries and not specific industry.
 
You'll be surprised Tanzania hapohapo, I'm running 4 online businesses na 3 zimekua sana wakati huu wa korona, moja tu ndiyo imeshuka.

There's really no magic, hua nasema ukiona unafulia jua uko peke yako, hamfi wote kuna watu wanazidi kupanda wakati wengine mnaumia. Stand up and figure out what to do kujitoa kwenye hiyo situation period, maneno mengine yote hua ni excuses tu.
Ndugu taja biashara online ninayokua kwa Sasa mbona unaleta porojo?
 
Tulio kwenye online business hakuna kufunga ni 24/7 ina run itastop pale kila mtu kafulia hana tena hela ya kuspend which means uchumi umekufa tunahitaji muda kurecover.
You missed the point. Hamna anaesema biashara zimefungwa(kwa Tz). Biashara nyingi ziko wazi ila wateja hamna, watu hawana hela ndio maana wengine watakwambia hata online utamuuzia nani?! Hatuko kwenye lockdown hapa Tz maduka na biashara nyingi zipo wazi ila wateja hamna, kila mtu anajihami na senti zake wanatumia kwenye mambo muhimu kama chakula(nyumbani sio hotelini) na dawa.

Hii ni dunia nzima tena huko nchi zilizoendelea ndio balaa. Mamilioni ya watu USA wamekuwa jobless wanajiandikisha wapewe ruzuku, Ulaya hivyo hivyo biashara zinapewa stimuli zisife au zisipunguze watu.
 
Mimi nimekimbia ofisi juz kat wamepiga mnada furniture za ofis yangu wateja wangu wengi ni mashule na makampuni ya utalii
Pia niliagiza mizigo china imekwama uko tangu february ndugu mteja anataka refund alaf mkulungwa niko juu ya mawe balaa
Yaan kua CEO wa vikampuni uchwara ni stress balaa kuitwa tapeli nje nje yaan
Duuh pole mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom