Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Nilienda bank 2 wiki jana nikawa naongea na managers wananiambia biashara kibao wamesitisha kutoa mikopo lakini wanaodaiwa wanawadai hivyo hivyo kwa vitisho na wanasema inabidi wapambane marejesho ya mwezi huu yakae ili board ya wakurugenzi waone mikopo inalipika waruhusu kutoa mikopo mipya wakisema wafanye rescheduling itakula kwao itafikia hatua kuna watu watapoteza ajira au mishahara kusimama
 
Pole mkuu wangu
 
Hiki ndo nachokiongelea.
Yani siamin kama hii corona umefka hapa
Nlikua nalaza laki kwa 4dys lakin now
Hata 10k ya kula inakosekana

god is good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…