Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Hakika ni kumuomba Mwenyezi Mungu hili balaa lisiendelee kuiathiri Nchi yetu. Maana hapa biashara zangu fulani zilizokua zinanipa pesa ya kula nje ya mshahara wangu muelekeo wake sio mzuri kama hapo mwanzo.

Ni kuendelea kupambana na kumuomba Mwenyezi Mungu,kwa upande wangu sitegemei kuifunga itaendelea hivyohivyo mpaka pale hali itakapotengemaa tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanadamu bana hamjui kwamba habari yenu kwisha!!!
mmefika ukingoni...!!!
 
Ameen @ram
Eee Mungu tunaomba toba na rehema, wewe ni Mungu unaerehemu, ni Mungu unaeponya, ni Mungu unaesamehe. Samehe Baba, ponya Baba na uturehemu pale tulipokwenda kinyume na mapenzi yako, Baba tunaomba utuvushe kwenye janga hili, tunajua kuna magonjwa mengi yanayochukua uhai wa binadamu lakini katika hili tumeshindwa Baba, dunia imejaa hofu na woga, dunia inaomboleza, hatujui mwisho wetu utakuwaje, Mungu tunaomba maisha yetu yarudi kama tulivyokuwa tukiishi siku zote, tumekutenda dhambi lakini Baba kumbuka rehema na uondoe ghadhabu juu ya nchi, watu wanaangamia kwa njaa, maisha magumu kwa kuwa hakuna kazi, watoto wanatamani kwenda shule lkn hawewezi tena, kumbuka rehema sawa sawa na neno lako kutoka Habakuki 3:1-2..Amen!
 
Back
Top Bottom