Nimeamini Karia ni Mtoto wa mjini

Nimeamini Karia ni Mtoto wa mjini

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Yaani anakujaza upepo unaingia kingi unamtukana hadharani anakuangalia tu.

Sekretariate inakupeleka kamati ya nidhamu.

Unaibuka kuwa hukumtukana
Anakupigia simu kuwa njoo home tuyamalize.

Unaenda nyumbani kwake kama bibi harusi ukiwa na mshega,unakaribishwa juice mtoto wake anakupiga picha na anakwambia yameisha.

Kesho yake unatoa tamko kuwa ulikosea kumtukana na unajutia kitendo hicho na umeomba msamaha kwa ujinga uliofanya.nimekosa mimi nimekosa mmi nimekosa sana.

Wiki inayofuata Unapigwa ban ya miaka miwili

Unaitisha press huku unalia kuwa umeonewa hukumtukana bali yeye ndio alisema tuna kinyesi kwenye chupi

Jamaa yuko nyumbani anakuchora kwenye luninga unavyolia anakucheka tu
😀😀

Kuwa mtoto wa mjini raha sana

Karia na mzee JK salute kwenu mnajua kucheza na akili za mapopoma
 
Hata Manara ni mtoto wa mjini sema hana akili ana platform kubwa kwasababu wafuasi wa hizi timu za Kariakoo ni watu wa aina ya Haji wehu na kupenda ujinga ujinga mwingi.
 
Hata Manara ni mtoto wa mjini sema hana akili ana platform kubwa kwasababu wafuasi wa hizi timu za Kariakoo ni watu wa aina ya Haji wehu na kupenda ujinga ujinga mwingi.
Mjini pia kuna wajnga
 
Haji manara ni mlevi mpuuzi. MANARA ANAKUNYWA POMBE ZA OFA/BURE NA SIARA JUMLISHA NA SHISHA ZA KULIPIWA halafu anajiona mjanja. Angekuwa na akili asingelewa halafu aongee na waandishi. Huyu jamaa namjua na nakutana naye daily. Najua anapolewa na najua wanaomnunulia pombe hadi anazima. NI MLEVI SANA HUYU MANARA NA ANAPANIC SANA HASA AKILEWA.
 
Haji manara ni mlevi mpuuzi. MANARA ANAKUNYWA POMBE ZA OFA/BURE NA SIARA JUMLISHA NA SHISHA ZA KULIPIWA halafu anajiona mjanja. Angekuwa na akili asingelewa halafu aongee na waandishi. Huyu jamaa namjua na nakutana naye daily. Najua anapolewa na najua wanaomnunulia pombe hadi anazima. NI MLEVI SANA HUYU MANARA NA ANAPANIC SANA HASA AKILEWA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haji manara ni mlevi mpuuzi. MANARA ANAKUNYWA POMBE ZA OFA/BURE NA SIARA JUMLISHA NA SHISHA ZA KULIPIWA halafu anajiona mjanja. Angekuwa na akili asingelewa halafu aongee na waandishi. Huyu jamaa namjua na nakutana naye daily. Najua anapolewa na najua wanaomnunulia pombe hadi anazima. NI MLEVI SANA HUYU MANARA NA ANAPANIC SANA HASA AKILEWA.
Wacha wee
 
Haji manara ni mlevi mpuuzi. MANARA ANAKUNYWA POMBE ZA OFA/BURE NA SIARA JUMLISHA NA SHISHA ZA KULIPIWA halafu anajiona mjanja. Angekuwa na akili asingelewa halafu aongee na waandishi. Huyu jamaa namjua na nakutana naye daily. Najua anapolewa na najua wanaomnunulia pombe hadi anazima. NI MLEVI SANA HUYU MANARA NA ANAPANIC SANA HASA AKILEWA.
Ana laana mtu alikuwa Mwalimu Madras leo hii kageuka mlevi wa pombe,bangi sigara na shisha lazima awehuke na soon ataanza kuvua nguo hadharani
Screenshot_20220725-162904.jpg
JamiiForums-157563313.jpg
 
Haji manara ni mlevi mpuuzi. MANARA ANAKUNYWA POMBE ZA OFA/BURE NA SIARA JUMLISHA NA SHISHA ZA KULIPIWA halafu anajiona mjanja. Angekuwa na akili asingelewa halafu aongee na waandishi. Huyu jamaa namjua na nakutana naye daily. Najua anapolewa na najua wanaomnunulia pombe hadi anazima. NI MLEVI SANA HUYU MANARA NA ANAPANIC SANA HASA AKILEWA.
Uko sahihi Sana afu sanaaa,aache pombe za hovyooo,Haji
Analewa sanaaa afu akilewa mropokaji
 
Back
Top Bottom