Yaani anakujaza upepo unaingia kingi unamtukana hadharani anakuangalia tu.
Sekretariate inakupeleka kamati ya nidhamu.
Unaibuka kuwa hukumtukana
Anakupigia simu kuwa njoo home tuyamalize.
Unaenda nyumbani kwake kama bibi harusi ukiwa na mshega,unakaribishwa juice mtoto wake anakupiga picha na anakwambia yameisha.
Kesho yake unatoa tamko kuwa ulikosea kumtukana na unajutia kitendo hicho na umeomba msamaha kwa ujinga uliofanya.nimekosa mimi nimekosa mmi nimekosa sana.
Wiki inayofuata Unapigwa ban ya miaka miwili
Unaitisha press huku unalia kuwa umeonewa hukumtukana bali yeye ndio alisema tuna kinyesi kwenye chupi
Jamaa yuko nyumbani anakuchora kwenye luninga unavyolia anakucheka tu
😀😀
Kuwa mtoto wa mjini raha sana
Karia na mzee JK salute kwenu mnajua kucheza na akili za mapopoma
Sekretariate inakupeleka kamati ya nidhamu.
Unaibuka kuwa hukumtukana
Anakupigia simu kuwa njoo home tuyamalize.
Unaenda nyumbani kwake kama bibi harusi ukiwa na mshega,unakaribishwa juice mtoto wake anakupiga picha na anakwambia yameisha.
Kesho yake unatoa tamko kuwa ulikosea kumtukana na unajutia kitendo hicho na umeomba msamaha kwa ujinga uliofanya.nimekosa mimi nimekosa mmi nimekosa sana.
Wiki inayofuata Unapigwa ban ya miaka miwili
Unaitisha press huku unalia kuwa umeonewa hukumtukana bali yeye ndio alisema tuna kinyesi kwenye chupi
Jamaa yuko nyumbani anakuchora kwenye luninga unavyolia anakucheka tu
😀😀
Kuwa mtoto wa mjini raha sana
Karia na mzee JK salute kwenu mnajua kucheza na akili za mapopoma