Nimeamini kila shetani na mbuyu wake

Niliwahi kukutana na mmoja ana mizimu, skumoja ikapanda wakati napiga show..... mkuu yani sikuangalia cha mizimu wala majini, miniliendelea kugonga show kilicho nikuta sinto kaa nisahau...😜😜
Hebu tueleze kilikukuta kipii
 
Duniani hamna mbabe kama muda na nature
 
Tunawapa miaka miwili, halafu tutaona point tatu watachukua wazee wa kataa ndoa au vinginevyo
 
Weee yule hachujiii na ni mafia kwelii
Me nahisi ndumba imetumika kabisaa
Huyu anatetemekewa na kila rika asee
Ni wale kata mti panda mti
Kila nabii na zama zake itakua kasoma alama za nyakati mkuu,pia ndumba ina nafasi yake
 
Hapa kwenyewe na mm nimepatiwa Fogo mmoja rafiki ake shemela eti aniwoweee nisimamie mali
Hahaha dunia hii
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuwa makini tu hapo, badala ya kusimamia mali usije ukaishia kusimamia kucha tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuwa makini tu hapo, badala ya kusimamia mali usije ukaishia kusimamia kucha tu.
Yaniii
We Acha tuu
Mwamba anataka matulizo
 
Kila nabii na zama zake itakua kasoma alama za nyakati mkuu,pia ndumba ina nafasi yake
🀣🀣🀣
Nahisi mwamba kuna mahali ameegemea
 
Huyo Ni mjanja....kaangalia wakati ,kajiongeza
 
Hata hao wakataa ndoa, VINA MUDA..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…