Uwa zuri Senior Member Joined Feb 24, 2023 Posts 104 Reaction score 177 Feb 27, 2023 #41 Ushimen said: Niliwahi kukutana na mmoja ana mizimu, skumoja ikapanda wakati napiga show..... mkuu yani sikuangalia cha mizimu wala majini, miniliendelea kugonga show kilicho nikuta sinto kaa nisahau...ππ Click to expand... Malizia story basi ππ
Ushimen said: Niliwahi kukutana na mmoja ana mizimu, skumoja ikapanda wakati napiga show..... mkuu yani sikuangalia cha mizimu wala majini, miniliendelea kugonga show kilicho nikuta sinto kaa nisahau...ππ Click to expand... Malizia story basi ππ
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Feb 27, 2023 #42 Nakadori said: We lini shoga bi dada? Hujanyakua mjf anaezurura zurura huko? Click to expand... Nipo naye sema namsikilizia cute....si unajua tena hayahitaji pupa
Nakadori said: We lini shoga bi dada? Hujanyakua mjf anaezurura zurura huko? Click to expand... Nipo naye sema namsikilizia cute....si unajua tena hayahitaji pupa
Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,012 Reaction score 23,633 Feb 27, 2023 #43 Hata jamaa yetu aliwahi kujitapa na kutujaza kuwa pimpin' ndio mpango mzima, ila muone leo.