Nimeamini kumpenda mwanamke asiye na utayari wa kupendwa ni Mateso

Nimeamini kumpenda mwanamke asiye na utayari wa kupendwa ni Mateso

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Nilichogundua katika maisha yangu ya Tongozo hapa na pale, kumshawishi mwanamke awe manzi yako wakati mwingine tunapitiaga wakati mgumu sana.

Yaani hawa dada zetu kuna kipindi wanakuwa hawataki kabisa mambo na show show, hataki kabisa kulala na mwanaume yeyote.

Wanadai wanatafuta uhuru na hasa Single mother. Nawamind sana masingle mother mananikataa sanaaa, hadi nachoka kukaa single.

Note:
Nitaoa soon
 
If a woman loves you, she'll break rules for you, stick around and fully submit.....
If she doesn't she'll make you jump through hoops and get free dinners out of your wallet.....

NB: Don't be HER SUCKER,......
Nakubali.
 
Nilichogundua katika maisha yangu ya Tongozo hapa na pale, kumshawishi mwanamke awe manzi ako wakati mwingine tunapitiaga wakati mgumu sana..

Yani hawa dada zetu kuna kipindi wanakua hawataki kabisa mambo na show show, hataki kabisa kulala na mwanaume yeyote.

Wanadai wanatafuta uhuru na hasa Single mother,,,

Nawamind sana masingle mother mananikataa sanaaa, hadi nachoka kukaa single.

Note:
nitaowa soon
Hakuna mwanamke mgumu asiyependa showukiona hivyo hajakuelewa tu
 
Back
Top Bottom