Nimeamini kuwa Simba SC si 'wa kimataifa'

Nimeamini kuwa Simba SC si 'wa kimataifa'

Usikariri, maana ile ni sawa na bunley kuifunga man city ila levo zao ni tofauti mno......bila shaka jana uliona mechi ya vita na hao alhly jinsi vita alivyotawala mpira na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga.. tukubali ukweli kuwa soka letu bado lipo chini.sana.. zaidi.sana.lipo midomoni, magazetini, tv na.redio.. tuna safari ndefu sana..

Sent from my R8107 using Tapatalk
So?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tujipange kama taifa kuendeleza michezo

Sent from my R8107 using Tapatalk
 
Simba jana ilikuwa kama mbuzi aliyenyeshewa na mvua,wachezaji walikosa kujiamini,ni kama kila mmoja alikiwa ana masikitiko kukosekana kwa Okwi.
Kufungwa 12_0 magoli ya ugenini inanifanya niendelee kuamini hawa jamaa ni wa matopeni tu..
Shida nyingine ni jezi ya Soura (jezi ya njano,inayotumiwa na Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania Bara_Young Africans) iliongeza hofu kwenye mioyo ya Mikia na hivyo kupoteana na kupigwa Chadema hiyo jana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo goli 12 kwenye maandiko matakatifu inaitwa Thenashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana mselwa. Kwanza ujue ili upate tiketi ya kwenda robo fainali una itaji point 9tu.

Sasa nakupa darasa. Simba ina mechi 1 mkononi tena ya nyumbani. Tuache ushabiki wa yanga tuongee ualisia rekodi ya simba katika hatu kabla ya kuingia makundi hata makundi haijapoteza mechi hata 1 ya nyumbani iyo ni advantage kubwa kwa simba.

16/3/ sio mbali mtakimbiana vita ataitambua simba kama alyaly alivyojuta kuifahamu. Nimwiko simba kushindwa nyumbani. Jikiteni kwa KMC Leo na ubingwa tunakuja kuubeba vyura nyie.
Mkuu,kwanza naitwa Mselewa na si Mselwa. Pili,mmetia aibu kwenye mechi za makundi kutopata sare au goli ugenini. Tatu,mkulishatolewa mrudi kuchachisha viporo vyenu na ubingwa hampati. Hifadhi maoni yangu haya. Simba ikitoka sare na Vita,matokeo yoyote ya Waarabu yatawavusha Waarabu wote.
 
Nisoma mahali kwamba country ya Tanzania ni Simba, kifupi cha 255
 
Bado ninaimani na under dog SIMBA SC kuelekea robo final, haya mengine ya vyura ni kujifariji tu ili nao waonekane vocal sac zao zina function . [emoji196] [emoji196] [emoji196] punguzen kelele basi maan hamkawii kubadili gia Angani pindi watapo chezea vitasa kwa BENJAMIN STADIUM asee [emoji16] [emoji16] [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watawakana kua sio wakongo bali ni wa Malawi. Teheteheee
Bado ninaimani na under dog SIMBA SC kuelekea robo final, haya mengine ya vyura ni kujifariji tu ili nao waonekane vocal sac zao zina function . [emoji196] [emoji196] [emoji196] punguzen kelele basi maan hamkawii kubadili gia Angani pindi watapo chezea vitasa kwa BENJAMIN STADIUM asee [emoji16] [emoji16] [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom