We nae acha uzembe bana. Mbona kupika kazi rahisi tu. Anyway, niko napika hapa. Eti ukizidisha chumvi kwenye tambi unafanyaje waungwana? Au nitafute chips?
Ammonium chloride.Dah.... Chumvi gani unatumia mkuu? Sodium Chloride au Potassium chloride? [emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
Dakika kumi zote najiuliza niweke chumvi au sukari. Matokeo yake nikaweka chumvi tena ikazidi. Imebidi niagize chips asee.Hhahahahah yani we jamaa unaniua mbavu
Unajua kupika halafu hujui kiwango cha chumvi au kama chakula kinatakiwa kuwekwa chumvi
Wewe unakoroga michanganyo
Tuanzishe club ya wasiojua kupika basi wewe uwe mwenyekiti mie niwe makamu mwenyekiti
Chapati kwa ujumla ata wanawake inatusumbuaThank you
Nilidhani kukanda itakuwa kazi, ila kuleta duara la chapati inahitaji uwe fundi kwa kweli
Uko vizuri jikoni lakini?
Huyu jamaa bana. Chai imemshinda alafu akahisi eti ataweza chapati hahaaChapati kwa ujumla ata wanawake inatusumbua
Tambi ukizidisha chumvi hamna namna. Na zinakuwa mbaya sijui kama nini.We nae acha uzembe bana. Mbona kupika kazi rahisi tu. Anyway, niko napika hapa. Eti ukizidisha chumvi kwenye tambi unafanyaje waungwana? Au nitafute chips?
chemsha maji mengi halafu zidumbukize tena, chumvi itapungua.Dah.... Chumvi gani unatumia mkuu? Sodium Chloride au Potassium chloride? [emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
Hahhahaa ndo hapo sasaHuyu jamaa bana. Chai imemshinda alafu akahisi eti ataweza chapati hahaa
Dakika kumi zote najiuliza niweke chumvi au sukari. Matokeo yake nikaweka chumvi tena ikazidi. Imebidi niagize chips asee.
Gily next time jaribu chapati za maji, ni rahisi zaidi. Za kusukuma hata mie zilishanishindaga.