Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Sikuangalia picha baada ya kusoma comment yako imenibidi nirudi kuiangalia..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] amoeba huyu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuangalia picha baada ya kusoma comment yako imenibidi nirudi kuiangalia..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] amoeba huyu hapa
Haziliki mkuu. Nimekula chips. Wali, ndizi na ugali naviweza japo mara chache huwa nasahau kuweka chumvi. Sasa tambi nimekumbuka kuweka ila ikawa too much. Nadhani mwakani nitaoa ila sio sababu ya kupika. Kuna kitu inaitwa kufua hahaa!Hahahahaha dah aisee
Ulivyokula zinalika kweli?
Usikute umekaanga kama nilivyokaanga chapati jana, ikawa kaukau
Fanya mpango uoe kaka kwa namna hii utakula chips kila siku
Uki search tu youtube JINSI YA KUPIKA CHAPATI, utapata madini mengi sana. Bundle yako tu.Uko vizuri
Ngoja nikazitafute huko Youtubute au ungetuwekea link kabisa kuna wengi wetu humu tuna hamasa ya kutaka kujua
Uweke chumvi kidogo na sukari kama unapenda.Zimenipiga knock out asee. Nitajaribu kurudia usiku kuzipika nikiwa kwenye mood!
Sikuangalia picha baada ya kusoma comment yako imenibidi nirudi kuiangalia..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] amoeba huyu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pita hapo marikiti, kuna majani ya CHAI BORA ya MASALA. Tea bag unadumbukiza kwenye maji mchezo umekwisha. Ukitaka mbinu nyingine nishtue.
Uweke chumvi kidogo na sukari kama unapenda.
Pia unaweza ukaweka sukari tuu.
Pia chumvi tuu inapendeza ila hakikisha unaonja maji kabla haujatilia tambi. Ukiona yamezidi chumvi mwaga maji uweke mengine.
Pia usipike nyingi maana zina tabia ya kukinaisha badala ya kushibisha.
Thanks. Nadhani nilikosea kuweka chumvi, maana napenda tamu tamu. Nitaanzia youtube kabisa, ila nitakua nimeweka oda ya chips, ust in case hahaa!Uweke chumvi kidogo na sukari kama unapenda.
Pia unaweza ukaweka sukari tuu.
Pia chumvi tuu inapendeza ila hakikisha unaonja maji kabla haujatilia tambi. Ukiona yamezidi chumvi mwaga maji uweke mengine.
Pia usipike nyingi maana zina tabia ya kukinaisha badala ya kushibisha.
Mie nilikuwa naona kazi nyepesi. Mungu awabariki wapishi, ila wewe unajua kupika?
Inawezekana wanakimbia kwa sababu hawajui kupika. Watu wengi wanajinadi wanajua kupika hususani wanawake ila mapishi yao mabovu. Ukikutana na mtu lazima ajipe ujiko au sio?
Haziliki mkuu. Nimekula chips. Wali, ndizi na ugali naviweza japo mara chache huwa nasahau kuweka chumvi. Sasa tambi nimekumbuka kuweka ila ikawa too much. Nadhani mwakani nitaoa ila sio sababu ya kupika. Kuna kitu inaitwa kufua hahaa!
Chakula gani ambacho kiko complicated ambacho unajua kupika?
Mr anawahi rudi nyumbani kwa mapishi yako????