Nimeamini kweli mke ni ubavu wa pili

Jamaa umenifurahisha sana...

Hujui kupika baada ya kuanza vyakula vyepesi umeanza na Chapati ambayo wanawake wengi tu hawaziwezi kuzipika kiustadi..

Sasa wewe ungewezaje!??Siku nyingine Pika chai,nunua na Biscuit au mkate usogeze masaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chemsha maji mengi halafu zidumbukize tena, chumvi itapungua.

Duh sasa akimwaga yale maji na nutrients zinatoka kwenye huo msosi
Kitakuwa hakina ladha I bet
 

Mie huwa namuona wife anapika nikajua itakuwa rahisi
Nilifikiri nipike maandazi nikaona na amira sijui na vitu gani wanaongeza nitafeli
Nikajisemea ngoja nipike chapati ila kumbe kazi yake si ndogo

Ila nimejifunza kitu kwa kweli. Nilinunua mkate nikala mbona sikuwa na jinsi
Ila kwa kushindia mkate sio poa kabisa
 
Tambi ukizidisha chumvi hamna namna. Na zinakuwa mbaya sijui kama nini.
Fuata chipsi.

Kashaenda kuagiza Chips
Maisha ya kisela yana kazi sana
Nimemshauri afanye mpango aoe kwa kweli
 
Kuna youtube mzee, mambo yamekua rahisi. Za maji unachanganya maji, mayai na unga wa ngano, chumvi na sukari kwa mbali sana. Unakoroga uji unakuwa mzito ila si sana. Unaki grease kikaango unaweka motoni, ni kama unakaanga mayai vile.
 
Huyu jamaa bana. Chai imemshinda alafu akahisi eti ataweza chapati hahaa

Alaa kwa kuona mke wangu anapika niliona itakuwa rahisi
Chai haikunishinda sema haikuwa na mchanganyo wa viungo alivyokuwa ananiweka
Kanambia huwa anaweka mpaka asali

Mie ningeyajulia wapi hayo chai ilikuwa chungu tu
Majani anayotumia ni YA MCHANGANYO wa viungo ving ndo mana chai ikawa chungu

Sadly sikujua hayo
 
Halafu kuna watu wanasema "mwanamke ni chombo cha starehe".
Btw, hiyo chapati iliyotoka ya mwisho ni zuri sana hongera.

Nashukuru sana sana Paula, uko nice sana
watu wananijungua sana
Na nina uhakika hawajui hata kupika

Huyu mzee baba anajiita mpishi ila kazidisha chumvi, yeye kama mimi Tu

Kwa kweli naomba nisitie neno "mwanamke ni chombo cha starehe".
 
Pita hapo marikiti, kuna majani ya CHAI BORA ya MASALA. Tea bag unadumbukiza kwenye maji mchezo umekwisha. Ukitaka mbinu nyingine nishtue.
 
Napenda misosi saana...najua migahawa yote inayouza misosi mizuri...

Niulize kila menu nitakuambia sehemu ya kwenda kula.
 
Kuna youtube mzee, mambo yamekua rahisi. Za maji unachanganya maji, mayai na unga wa ngano, chumvi na sukari kwa mbali sana. Unakoroga uji unakuwa mzito ila si sana. Unaki grease kikaango unaweka motoni, ni kama unakaanga mayai vile.

Uko vizuri
Ngoja nikazitafute huko Youtubute au ungetuwekea link kabisa kuna wengi wetu humu tuna hamasa ya kutaka kujua
 
Dah...hii ina sumu...usitumie..inasababisha kichefuchefu na kutapika...watu watakufikiria vibaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160

We jamaa naomba utueleze umejuaje yote haya
Utakuwa ni Chef
Au mwalimu wa Chemistry vile

Tupe elimu ndugu na sie tujue, hapa ndio tutakapofunguka macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…