Nimeamini kweli mke ni ubavu wa pili

Hongera kwa kutambua umuhimu wa mke!Ila mkuu ungeacha uzi upumue,acha na wengine waandike tusome uzoefu wao au maoni yao!Sasa ukijibu kila comment wengine inatuchosha kupitia!Ungeweza kujibu comment chache zenye uhitaji wa kufanya hivyo!
 

Kuna watu unaona waandika kujifurahisha ila wanaamini sana wanachokisema. Kwa kweli nasikitika kukutana na watu wenye mawazo hasi kwa sababu hujui mwenzako analipokea vipi. Unakuta ile hasi inakuwa kama Corona watu wanaambukizana tu unajikuta hata wewe umekuwa na mawazo hayo. Kwa kweli napinga sana

Nashukuru sana ila nimejifunza kitu, siku nikiwa home mke wangu akiwa anapika naweza hata kupika nae ili na mimi nijifunze. Akiumwa inakuwa kazi kubwa sana na watoto hata kuogesha unakuwa hujui

Watoto wanaumiza kichwa wakiwa home hata kushika PC nisema nachati swez mara huyu kashika TV
Huwezi kufanya jambo ukawaacha wenyewe
 
Kwaiyo kula hadi uwe na nyundo pembeni.

Ila huo ndiyo uanaume
 


Sina Hakika kama linahitaji ufundi mwingi kulipika au laah. Kiufupi sijalifatilia sababu sina interest nalo kuanzia kulila mpaka kulipika.
 
Sina Hakika kama linahitaji ufundi mwingi kulipika au laah. Kiufupi sijalifatilia sababu sina interest nalo kuanzia kulila mpaka kulipika.

Kuna vyakula unaweza jua jinsi wanavyopika ila ukawa hauna interest nalo it is true
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaaa nakufaaa...mpaka nmetimuliwa sebuleni na kupondwa na brush la Viatu kwenye matter call[emoji23][emoji23] chapati ina macho ya dharau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaaa nakufaaa...mpaka nmetimuliwa sebuleni na kupondwa na brush la Viatu kwenye matter call[emoji23][emoji23] chapati ina macho ya dharau

Sent using Jamii Forums mobile app

Nashangaa watu wote walio comment hawajaona

Aisee wewe macho yangu yako kama yangu. Haki ya nani yacheki yalivyokuwa yananitizama

Hahaha nani kakutimua sebuleni huyo?? Aisee pole sana
 
Yan nmejikuta tu out if control kicheko...nalipua balaa...alaf mama kantizama usoni km sekunde 6 bila kuongea..nikaona anaangaza kitu cha kunipondea nikaanza mbio...ila kimenipata duuuuh chapatii
Nashangaa watu wote walio comment hawajaona

Aisee wewe macho yangu yako kama yangu. Haki ya nani yacheki yalivyokuwa yananitizama

Hahaha nani kakutimua sebuleni huyo?? Aisee pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…