Bijang
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 368
- 724
Oya, mitihan ishaisha umerud siti ya mbeleKILA LA HERI, KUPANGA NI KUCHAGUA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya, mitihan ishaisha umerud siti ya mbeleKILA LA HERI, KUPANGA NI KUCHAGUA
Asante Sana KWA ufafanuzi mujarabuTembelea tawi lolote la CRDB kwani ndo mawakala wao kila mkoa. Au ingia YouTube andika Utt Amis utapata ufafanuzi mujarabu
Umeearn au umeserve?Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke alirudhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Mkuu ungeunga hapo hapo usibadilishe gia angani maana ukianza kulitafuna bata,hautakuwa na break ya kurudia kujinyima tena!Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke alirudhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Acha kupangia watu mtumizi. Wewe pesa zako nenda kanunue hizo bond za serikaliNimekusoma vizuri sana, ndiyo maana nikakuandikia hivyo.
Huo ndiyo ujingwa wa Mwafrika, badala ya kusema nimepata mtaji nikanunuwe bond za serikali (kama hujuwi biashara), wewe unasema unakwenda "kula bata".
Huo ni ujinga usiomithilika.
daaah aiseeOya, mitihan ishaisha umerud siti ya mbele
Uko sahih Sana bibie [emoji1663]Nimekusoma vizuri sana, ndiyo maana nikakuandikia hivyo.
Huo ndiyo ujingwa wa Mwafrika, badala ya kusema nimepata mtaji nikanunuwe bond za serikali (kama hujuwi biashara), wewe unasema unakwenda "kula bata".
Huo ni ujinga usiomithilika.
Bado haujajisaidia kwa kukabikiza hela benki eti unasave. Hizo ziwewekeze kwenye shughuli inayozalisha ili mtaji ukue.Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance mbalimbali za kukuwesha kusongesha maisha kwa mwezi ukipambana vizuri 300k hukosi mbali na mipigo mingine napo nilikuwa nasevu kwa kila nikipatacho.
Dah utajiri mgumu jamani. Nilianza saving UTT miaka ya nyuma ila kwa mwaka huu nimejizima Data kwa kusevu 1ml + kila mwezi. Ni ngumu sana kwa kipato changu nikipatacho.
-Sijanywa bia yoyote mwaka huu.
-Familia imeishi kigumu sana kwa kipato cha 300k+ kila mwezi. ( Uzuri mke alirudhia na kunitia moyo).
-Nina nyumba ya kuishi.
- Watoto bado wadogo under 7.
- Nimeteseka sana nimeishia kama shetani vile ila nimefanikisha.
FUNZO;
Maisha ni Maumivu, kujitoa na uvumilivu. Kipato cha
mwezi huu na ujao ni full kula Bata kujipooza machungu.
Anza kuzitoa huko kwa awamu zielekeze kwenye uzalishaji. UTT unapata faida kidogo sana kwa mwaka tofauti na kuizunhgusha. Kama una ka uzoefu kidogo wa biashara peleka kwenye duka la vileo au hata Pub. Pia biashara ya nafaka (siyo mahindi) itakupa faida kubwa tofauti na UTT.Zipo Utt Amis mkuu zinaendelea kuingiza faida
Shukran mkuu mwakani nitafanya biashara ya kahawaAnza kuzitoa huko kwa awamu zielekeze kwenye uzalishaji. UTT unapata faida kidogo sana kwa mwaka tofauti na kuizunhgusha. Kama una ka uzoefu kidogo wa biashara peleka kwenye duka la vileo au hata Pub. Pia biashara ya nafaka (siyo mahindi) itakupa faida kubwa tofauti na UTT.
Wewe bibi acha ukoraSasa kazinywee pombe ustarehe (kula bata) na malaya wa nje uwawache mkeo na wanao hawali matunda ya kuteseka kwao.
Biashara sio ya kila mtu MzeeAnza kuzitoa huko kwa awamu zielekeze kwenye uzalishaji. UTT unapata faida kidogo sana kwa mwaka tofauti na kuizunhgusha. Kama una ka uzoefu kidogo wa biashara peleka kwenye duka la vileo au hata Pub. Pia biashara ya nafaka (siyo mahindi) itakupa faida kubwa tofauti na UTT.
Unamaanisha wewe ni LAKIONEA.Nyie wenzangu mnawezaje save mpaka inafika million?
Ebu nipeni maujanja
Tena anaiweza kuireinvest hio Hela na kuongeza nyingine kutoka kwenye maokoto yake.2.5 m kwa muda wa miaka 20,,jumla unakuwa ume make 50 m na hapo hiyo 25 m uliyonunulia hatifungani inarudi kwa hiyo hapo unakuwa umeiua inflation kwa asimilia zaidi ya mia tatu hivi.