Hivi mpaka unatafutwa hadi unakamatika hujui kama mjinga ni wewe?Mmmhh huuu mchongo wa laptop n an internet huuu ni forex tu hapo kuna watu wanatafutwa ma newbie kazi kwenu
Then unamudu kuish hotel ya 60k per day?😁Nyingine unawaungia Facebook, WhatsApp, telegram, YouTube,fans,Badoo,taggedTwitter,Instagram,jamii forum,unaowanyesha namna ya kusachi video ya mondi,zuchu,Simba na yangazm,cdm vs ccm,mitandao ya kujisomea Hadithi, mapenzi,kufumaniana ama unatunga stori unawafurahisha wanakulipa.
Hata kuwashauri wazazi wapeleke watoto wao shuleni gani unakuwa na database za matokeo ya shule zote kwenye Excel so unakuwa unazichambua unawaelezea walifauluje masomo ya sayansi baadaye wale wanafunzi unawafanyia follow up mpaka huko chuoni na adi na kazini na performance inaendana na huko walipokuwa ama walikuwa wanalishwa ama walipewa so hapa wenye shule utakuwa adui wao mkubwa. Haiwezekani utoke na 10 zote A baadaye advance upige three yaani sio related labda pepa uslisoviwa yaani tunawafanyia analysis.Hizo kwenye stationery za vijijini au za uswahilini huwa zinafanyika sana
Ujue mkuu hawa watu wana vichwa vigumu na hawana shukrani usifunguke zaidi...
Ujue asiyejua maana haambiwi maana
Waishie tu kuita watu freemason au malayer kumbe wenzao wanacrakisha akili
Hata hizi unaweza kuwa kwenye ofisi nzuri tu yenye acHata kuwashauri wazazi wapeleke watoto wao shuleni gani unakuwa na database za matokeo ya shule zote kwenye Excel so unakuwa unazichambua unawaelezea walifauluje masomo ya sayansi baadaye wale wanafunzi unawafanyia follow up mpaka huko chuon...
Mbona unakuwa na fixed mind ivyo mkuu unacheki na kazi nyingine like kuwa pimp ama kuwauza ama kuwa dalali wa Malaya Ni kazi huko ulaya. Unafanya massage akina mama sema wao wanakuita uko mtandaoni na ukienda piga kazi cheki dikson wako asikuponze labda unammasahe mpaka anakujoa.Then unamudu kuish hotel ya 60k per day?😁
Yaani nimekaa nyumbani nashindwa mtu wa kuongea naye,Nina miaka kadhaa sipo kwenye Ajira rasmi na Nina licheti Hala lizuri kabisa la uinjinia Ila Sasa ndio ivyo sijui mpaka nilambe ama nisifie ama niimbe mapambio.Hata hizi unaweza kuwa kwenye ofisi nzuri tu yenye ac
Unaambiwa mjini ongea na watu vizuri machimbo yapo
Hahaha kuwa introvert huwa ni kioemgeleYaani nimekaa nyumbani nashindwa mtu wa kuongea naye,Nina miaka kadhaa sipo kwenye Ajira rasmi na Nina licheti Hala lizuri kabisa la uinjinia Ila Sasa ndio ivyo sijui mpaka nilambe ama nisifie ama niimbe mapambio.
Sema huwa Ni introvert mno yaani kujimix nakuwa zero Kama sina ishu ya kuifanya
Hii niliona mie Moscow mwanamke anaku stimulate kwa simu yaani lugha tamu anajiliza kimahaba nikasema kweli waafrika Kuna fursa nyingi mno.Mwambie aende Netherlands atashangaa na ushamba wake
Sijakuelewa kamanda hapaNa waoo abeg oooh!
Na wetin be dis
Yeah watz hawataki challenges vichwan mwao. Mfano mzuri ni haya mapovu wanatoa hapa.... yani hawa Acha tu wawe wa chini maana hata ukisimama barabarani ukawapa haya madini unayotoa hapq bado watakuita majina na kwamba unataka kuwapiga pesa.Hii niliona mie Moscow mwanamke anaku stimulate kwa simu yaani lugha tamu anajiliza kimahaba nikasema kweli waafrika Kuna fursa nyingi mno...
Aniache kwani nimemkosea nini?Muache just beat him by his own inner game
Kama halali si tushilikishe nasi manake kama umeleta mada unahtaji kuwasaidia watu kwn wew piah si ulipatiwa na kusaidiwaSio ishu haramu kabisaa
Ni halali
Asee nalipa kodi tra
Nina leseni
Nina ofisi
Tatizo lenu mnaamini kwamba kila ishu ya hela nyingi lazma iwe haramu...sio kabisa.
Manyanza waambie wenzako
Mkuu umenichekesha sana,kama nawaona mifugo ikiwa mashoga hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMm nimesoma HKL na ni bodaboda.Nsije nkadunga mifugo ya watu dawa za kuwageuza Mashoga bureee.
Sema we sikuelewi nilikuona mwelevu ila nakuona tena wew ndo mjinga kwn point nzuri huzipokei na mbaya ndo unazikubali..... Huna mchongo wowote unawapotosha watu embu siku nyingne viongoz wawe wanawachunguza kabla ya kuposti kitu humu,,,,, kwn unaweza jiona ni muelewa sana afu wenzio wakakuona wew ni punguaniERoni
Nakuheshimu sipendi nikuvunjie heshima.
Sijaiba wala sijawah kuiba chako.
Pls pls pls
3 times hyo
Salama?
Dah kila siku najifunza hapa duniani....NIMEAMINI MJINI NJOO NA AKILI TU ...HATA USIPOBEBA NGUO UKIWA NA AKILI UTAZIPATIA MJINI.
Sasa basi Kuna mzee mmoja niliunganishwa nae anisaidie ishu moja hivi....sasa bwana nikashangaa sana huyu mzee maisha yake yote anaishi hotelini..I mean kwa siku analipia elf 60 hadi 70 za kulala (inaweza kuwa ndogo kwako ila kwangu kubww sana kwa siku) na muda wote anapiga ulabu wa gharama tena akiwa na kampani ya mtu hadi 6 mpaka jogoo anawika. Nikawa najiuliza huyu dingi anashinda hotel anakesha bar pesa anatoa wapi??
Basi binafsi ishu aliyopaswa anisaidie hakunisaidia badala yake akawa ananikaribisha niwajoin mida ya jioni wakiwa wanapata mambo yao. Katika story zake Alisema ameona nina akili sana so nitampatia utajiri so niwe mpole nimsikilize (najua mtabisha kwakuwa mnaniona kilaza sana humu).
Akawa ananituma kumfanyia kazi zake binafsi kwa kunituma sehemu mbalimbali. Nikaamua kuwa mjinga tu kwamba niwe namsikiliza na kufanya kazi zake bila hata malipo.
Sasa akanipatia mchongo flani ...mwanzoni niliuona mgumu sana kwakuwa hadi umu identify mteja sio kazi rahisi . Huu mchongo unatumia ujinga wa watanzania na utapiga hela ndefu tu.
Basi bwana baada ya kama mwezi hivi nikaanza kupata wateja... Yani salary yangu ya miezi 6 wakat nimeajiriwa nkaipata kwa mwezi mmoja. Inshort ule mchongo unafanya kazi na glass ya wine umerelax kabisaa kikubwa uwe na laptop, simu na data. Of course na connection kidogo. Yani mteja mmoja tu kwa mwezi anatosha unaishi kama mkuu wa idara ngazi ya mkoa.
Nikaamini kwamba mjini inatakiwa akili tu nguvu uache kijijini. Watanzania wengi ni wazito, hawajiamini, waoga sana na wavivu kufanya ishu zao hata zile ndogo sana....sasa wachache wajanja wanatumia huo udhaifu kuishi mjini.
Sijutii kumfahamu yule dingi.
Mwisho Ongea na watu vizuri ....unayedhan hana maana anaweza kuwa wa manufaa kwako. Aliyeni connect na huyu dingi ni bolt driver tu baada ya kuniskia naongea kuhusu ishu flan nikiwa mkoa flani kwa mapumziko.
Uzi tayari
Note: mchongo sitautaja kabisa. So msiniulize sana. Hiyo ni password ya maisha.
Kingine sitaki mtu PM. Nimetoa mfano wa maombi ya vyuo tu.... kwamba ukiutumia vizuri ni fursa. Kwani watu wa stationery wanafanya nini? Hadi kuangalia salary slip ya mwalimu wanachaji buku 3 na wapo Town wana hela kwa kutumia ujinga wa watanzania wakiwemo walimu. So jiongeze
Nyie mlioko PM msijisumbue sitajibu. Acha tu loser waniite tapeli ila ukweli sijawahi kutapeli hata Mia ya mtu. Fee nachaj kihalali kabisa in USD beibee (najua mnasonya ila ndo hvo tafuta ujinga uutumie kama fursa pia ongea na watu vizuri).
Akinielewa Mungu inatoshaSema we sikuelewi nilikuona mwelevu ila nakuona tena wew ndo mjinga kwn point nzuri huzipokei na mbaya ndo unazikubali..... Huna mchongo wowote unawapotosha watu embu siku nyingne viongoz wawe wanawachunguza kabla ya kuposti kitu humu,,,,, kwn unaweza jiona ni muelewa sana afu wenzio wakakuona wew ni punguani