Nimeamini mjini akili tu

Nimeamini mjini akili tu

Kama unaweza kurudia nilichoandika ili usiendeshwe na mihemko rudia mama.

Mnasema mnatumia ujinga wa watanzania kujinufaisha au kupata pesa, that's fine coz mnatoa huduma. Huko stationery mnaopotolea mifano sio kwamba watu hawajui...
Sasa issue za akina wangari mathai zimekujaje?
 
Hapa mtu ukijichanganya unapigwa. Hizi mbinu tunazitumia sana. Unakataa kabisa kutaja mchongo ila unataja faida unayopata.... Mtu atalazimisha sana.... Baadaye unamwambia wewe nimeona upo serious na upo smart nitakuambia. Ila ni siri...... [emoji1787]
[emoji28][emoji28]
 
Nishatoa mfano mmoja hapo...ujinga wa watu kwako fursa....
Mie nishakuelewa kitambo Ila average man anataka ashikwe mkono tu awekewe chakula mdomoni.

Binafsi huwa nakubaliana mno na shule zinazom shape mwanafunzi kujitafitia Mana maisha ndio yako Ivyo.

Pia umenichekesha kuwa tunakuona kilaza hapa jukwaani. Mbona wapo wanakuona Kama genius fulani mwenye Gene za Albert Einstein na akila Nikola Tesla mama
 
Sasa issue za akina wangari mathai zimekujaje?
Nimesoma original post, uliandika vizuri ila bahati mbaya ukaona utumie tabaka fulani la watanzania kuelezea uwezo wako kwa kile unachofanya. Kwamba walimu ni wajinga kiasi hicho kweli?
BTW, nimechukua kile kidogo tu katika kikubwa ulichoandika, nikaamua kuwa negative kwa hoja yako yote and I'm entitled to my opinion.
 
Mie nishakuelewa kitambo Ila average man anataka ashikwe mkono tu awekewe chakula mdomoni.

Binafsi huwa nakubaliana mno na shule zinazom shape mwanafunzi kujitafitia Mana maisha ndio yako Ivyo.

Pia umenichekesha kuwa tunakuona kilaza hapa jukwaani. Mbona wapo wanakuona Kama genius fulani mwenye Gene za Albert Einstein na akila Nikola Tesla mama
Basi wewe ni akili kubwa....
Wachache sana wamenisoma.
Ngoja oya oya waendelee kuniita tapeli ila wakubwa wenye IQ zao wamepata nondo
 
Nimesoma original post, uliandika vizuri ila bahati mbaya ukaona utumie tabaka fulani la watanzania kuelezea uwezo wako kwa kile unachofanya. Kwamba walimu ni wajinga kiasi hicho kweli?
BTW, nimechukua kile kidogo tu katika kikubwa ulichoandika, nikaamua kuwa negative kwa hoja yako yote and I'm entitled to my opinion.
Next time usini judge mimi kwa kutumia.refence ya mtu. Nipime mimi kama mimi.
Kama wangari aliishi fake me siko fake Kama ulivyotumia huo mfano kuwaaminisha watu .
 
Next time usini judge mimi kwa kutumia.refence ya mtu. Nipime mimi kama mimi.
Kama wangari aliishi fake me siko fake Kama ulivyotumia huo mfano kuwaaminisha watu .
Hakuna niliposema aliishi fake, nimesema nimemiss pigo kama zake coz nimefananisha huu uandishi na wa kwake, kwamba alikuwa fake au sio mimi sijui.

Lakini pia sio wote tutakuwa upande wa mleta mada, wengine tunakuwa critical kidogo, umeweka mzigo hapa uwe tu na ngozi ya mamba.
 
Basi wewe ni akili kubwa....
Wachache sana wamenisoma.
Ngoja oya oya waendelee kuniita tapeli ila wakubwa wenye IQ zao wamepata nondo
Mbon tumeshakuelewa mkuu hizo issue zilikua zinafanywa ubungo kabla ile flyover haijajengwa the same k/Koo, posta na buguruni kwa hio sio jambo jipya au geni kuwapiga watu mchanga wa macho kwenye hii nchi na wewe sio wa kwanza km ulivyosema kuna wakubwa zaidi yako yaan wewe ni kidagaa kidogo kinachochipukia ni channel tu Ila usishtukiwe na usidakwe (maneno haya ushasema wewe mwenyewe)
 
Basi wewe ni akili kubwa....
Wachache sana wamenisoma.
Ngoja oya oya waendelee kuniita tapeli ila wakubwa wenye IQ zao wamepata nondo
Penye tatizo ama ignorance Kuna hela.

Mfano Kuna mradi mmoja nauwaza unamiliki boda unampa kijana ,Hawa akina mama wanabakia home , wanafua,Wana watoto wananyonyesha,wanacheki series,tamthilia,wanapiga soga wanakuwa wavivu wa kwenda magengeni kufanya maemezi lunch nakuwa na app yangu Kama Uber wanatuma Oda zao nazo asubuhi nanunua Kama nyanya za 300,kitunguu Cha 200,dagaa 1000, mchicha wa 500,

Mafuta ya kula ya 200 nampelekea mafuta wananilipa kwa mwezi ama kila mmama anatoa 250 Mana natafuta eneo ambalo ni congested. Maana ukipata Kama Kaya buku ivi unalaza kitu Kama 200k unamzidi mwenye PhD anayelilia kutoteuliwa u rc pia.


Nyingine unapika chakula unakuwa na mdada unatafuta networks wale wavivu wa kupika ama mabachelor unawapelekea lunch wakiwa maghetoni Mana wapo wasiopenda kutoka kama vile mkiwa loji ndani kwa ndani unaletewa msosi hamshuki chini mana mko na nguo laini,Hawa Kuna service Kama ya 500,
 
Unawekeza kwenye uvivu ama kuwaletea stori za mapenzi wabongo utawakamata mno yaani stori Kama Iddi makengo akaamua kutoa stori weweeeee baadaye nunua kitabu alfu 10 hakuna kuachika ama utapata maarifa ya kumbadilisha mmeo ama ndoa yako
 
Penye tatizo ama ignorance Kuna hela.
Mfano Kuna mradi mmoja nauwaza unamiliki boda unampa kijana ,Hawa akina mama wanabakia home , wanafua,Wana watoto wananyonyesha,wanacheki series,tamthilia,wanapiga soga wanakuwa wavivu wa kwenda magengeni kufanya maemezi lunch nakuwa na app yangu Kama Uber wanatuma Oda zao nazo asubuhi nanunua Kama nyanya za 300,kitunguu Cha 200,dagaa 1000, mchicha wa 500,Mafuta ya kula ya 200 nampelekea mafuta wananilipa kwa mwezi ama kila mmama anatoa 250 Mana natafuta eneo ambalo Ni congested,Mana ukipata Kama Kaya buku ivi unalaza kitu Kama 200k unamzidi mwenye PhD anayelilia kutoteuliwa u rc pia.


Nyingine unapika chakula unakuwa na mdada unatafuta networks wale wavivu wa kupika ama mabachelor unawapelekea lunch wakiwa maghetoni Mana wapo wasiopenda kutoka kama vile mkiwa loji ndani kwa ndani unaletewa msosi hamshuki chini mana mko na nguo laini,Hawa Kuna service Kama ya 500,
Very hard task n very risk task Kuna boda boda kakanyagwa na DSM hapo maeneo ya mwanachi leo asubuhi amepasuka kichwa, but ni idea nzuri pia
 
Back
Top Bottom