Nimeamini mjini akili tu

Nimeamini mjini akili tu

Ukitaka kukuelewa vizuri huu uzi soma huu uzi hapa chini
Dah me hizo ishu za pyramid sijawah kuziamini. Najua unani provoke ili nifunguke ila sitasema kamweeeeee
Ntakuwa kama mwanaume aliyetahiriwa porini bila ganzi
 
Salama ?
Dah kila siku najifunza hapa duniani....NIMEAMINI MJINI NJOO NA AKILI TU ...HATA USIPOBEBA NGUO UKIWA NA AKILI UTAZIPATIA MJINI.
Sasa basi Kuna mzee mmoja niliunganishwa nae anisaidie ishu moja hivi....sasa bwana nikashangaa sana huyu mzee maisha yake yote anaishi hotelini..I mean kwa siku analipia elf 60 hadi 70 za kulala (inaweza kuwa ndogo kwako ila kwangu kubww sana kwa siku) na muda wote anapiga ulabu wa gharama tena akiwa na kampani ya mtu hadi 6 mpaka jogoo anawika. Nikawa najiuliza huyu dingi anashinda hotel anakesha bar pesa anatoa wapi??

Basi binafsi ishu aliyopaswa anisaidie hakunisaidia badala yake akawa ananikaribisha niwajoin mida ya jioni wakiwa wanapata mambo yao. Katika story zake Alisema ameona nina akili sana so nitampatia utajiri so niwe mpole nimsikilize (najua mtabisha kwakuwa mnaniona kilaza sana humu).

Akawa ananituma kumfanyia kazi zake binafsi kwa kunituma] HICHI KITUNGUU BEI GANI?
 
Dah me hizo ishu za pyramid sijawah kuziamini. Najua unani provoke ili nifunguke ila sitasema kamweeeeee
Ntakuwa kama mwanaume aliyetahiriwa porini bila ganzi
Sijasema unafanya Ponzi scheme Ila ndio wale wale unacheza na akili za watu tu akija kushtuka kashaibiwa

Alie elewa kaelewa Mjini akili wezi ndio wanaotajirika zaidi ukiwa sio mwizi sahau kutajirika sio kwamba unatumia ujinga wa mtu hapana ni manipulation tu za kumpiga parefu km muuza jeans na viatu na mabegi

Kiatu Cha 30,000 anakuuzia 100,000
Begi la 40,000 anakuuzia 120,000
Jeans ya 15,000 anakuuzia 45,000

Anatumia ujinga wako wa kutokujua kutengeneza pesa poop za kichwa
 
Sijasema unafanya Ponzi scheme Ila ndio wale wale unacheza na akili za watu tu akija kushtuka kashaibiwa

Alie elewa kaelewa Mjini akili wezi ndio wanaotajirika zaidi ukiwa sio mwizi sahau kutajirika sio kwamba unatumia ujinga wa mtu hapana ni manipulation tu za kumpiga parefu km muuza jeans na viatu na mabegi

Kiatu Cha 30,000 anakuuzia 100,000
Begi la 40,000 anakuuzia 120,000
Jeans ya 15,000 anakuuzia 45,000

Anatumia ujinga wako wa kutokujua kutengeneza pesa poop za kichwa
Kila mtu Ana uelewa wake..kikubwa sikwapui unakuja mwenyewe kuomba huduma ambayo in reality ungeweza kuifanya mwenyewe ila kwa sababu flan flan unanipatia niifanye. Naweka bei yangu tunasonga mbele.
 
Kila mtu Ana uelewa wake..kikubwa sikwapui unakuja mwenyewe kuomba huduma ambayo in reality ungeweza kuifanya mwenyewe ila kwa sababu flan flan unanipatia niifanye. Naweka bei yangu tunasonga mbele.
Yes that it is but out of the box unakwiba yaan ndio ni client wako lakini kwa kua ni mjinga hajui unatumia ujinga wake kumuibia ushanielewa kwa hio in another point of view wewe ni Mwizi usiseme kua umesingiziwa wewe ni tapeli in making, yaan unamfanya mtu aingie kwenye lengo lako akijaa tu kaliwa so we know all that na ni vyema usisitukiwe mapema au usikutane na mtu tapeli km wewe maana ishu lazima ibume au unataka kuniambia hujawahi bumisha hata mara moja tangu uanze ?
 
Yes that it is but out of the box unakwiba yaan ndio ni client wako lakini kwa kua ni mjinga hajui unatumia ujinga wake kumuibia ushanielewa kwa hio in another point of view wewe ni Mwizi usiseme kua umesingiziwa wewe ni tapeli in making, yaan unamfanya mtu aingie kwenye lengo lako akijaa tu kaliwa so we know all that na ni vyema usisitukiwe mapema au usikutane na mtu tapeli km wewe maana ishu lazima ibume au unataka kuniambia hujawahi bumisha hata mara moja tangu uanze ?
Sioni kama nafanya utapeli maana ni kampuni nyingi zinafanya hivi tena kwa gharama kubwa sana. Me yangu ni robo ya wenzangu
 
Life bwana, ila wanasema kila mtu ale alipopeleka mboga sio!!

Ujinga kwa mmoja na mwingine waweza kuwa werevu, ukipata fursa fanya, enjoy...ila usiwaseme wengine kuwa wajinga kwa vile tu kuna fursa wewe umeipata na wengine hawaijui.

Maisha ndivyo yalivyo, hatuwezi kuwa omnipotent kama Mungu, so umepata chance ya kutengeneza pesa wewe tengeneza, unataka kushirikisha wadau fanya hivyo, unaona haifai "unanyut" tu ila usiite watu wajinga kisa umepata fursa ambayo two yrs ago hukuwa na A wala B yake.

This makes me miss Wangari Maathai. Same "pigos"!!
 
Life bwana, ila wanasema kila mtu ale alipopeleka mboga sio!!

Ujinga kwa mmoja na mwingine waweza kuwa werevu, ukipata fursa fanya, enjoy...ila usiwaseme wengine kuwa wajinga kwa vile tu kuna fursa wewe umeipata na wengine hawaijui.

Maisha ndivyo yalivyo, hatuwezi kuwa omnipotent kama Mungu, so umepata chance ya kutengeneza pesa wewe tengeneza, unataka kushirikisha wadau fanya hivyo, unaona haifai "unanyut" tu ila usiite watu wajinga kisa umepata fursa ambayo two yrs ago hukuwa na A wala B yake.

This makes me miss Wangari Maathai. Same "pigos"!!
ERoni
Nakuheshimu sipendi nikuvunjie heshima.
Sijaiba wala sijawah kuiba chako.
Pls pls pls
3 times hyo
 
Wewe shukuru Mungu umeokota embe chini ya mnazi, sasa wadanganye waje kuangukia pua nazani hutakuwa tena na msaada kwao zaidi ya kuwaruka.
 
Binafsi ukiniambia kuna mchongo WA hela unachotakiwa ni kuwa sharp na lapt top yako huku unakunywa wine...
Akili ya kawaida inaniambia ni "crime related"...
Sasa kama ni uhalifu ...basi hupaswi kuwaambia ambao hawajihusishi kuwa wavivu au wamezubaa.....

Wewe endelea na michongo....lakini ambao hawafanyi Haina maana hawajui wengine wanajua hawataki
Duh!.
 
ERoni
Nakuheshimu sipendi nikuvunjie heshima.
Sijaiba wala sijawah kuiba chako.
Pls pls pls
3 times hyo
Kama unaweza kurudia nilichoandika ili usiendeshwe na mihemko rudia mama.

Mnasema mnatumia ujinga wa watanzania kujinufaisha au kupata pesa, that's fine coz mnatoa huduma. Huko stationery mnaopotolea mifano sio kwamba watu hawajui, ila kuna kugawana majukumu na rizki, mwingine ana mishe zake anataka alete kazi yake umfanyie akulipe aende kwa mambo mengine, mnamuita mjinga...its not right.

Ndio nikasema, ukipata mishe inakupa pesa, enjoy, do it with pleasure, jiendeleze, lakini usirudi nyuma kusema watanzania ni wajinga so tunakula kwa ujinga wao, sio sawa.

Sasa maoni yangu yanahusiana vipi na wewe kuniheshimu? Heshima hainunuliwi na haiombwi, so you can decide not to respect me!
 
@chellenger
We ni member wa siku nyingi ulofungua I'd kunishambulia haya dhambi zako hizo.
Tena nikome. Nakupotezea ila umezidi
Eti laki
Laki mpe mkeo anunua unga
 
Sio ishu haramu kabisaa
Ni halali
Asee nalipa kodi tra
Nina leseni
Nina ofisi
Tatizo lenu mnaamini kwamba kila ishu ya hela nyingi lazma iwe haramu...sio kabisa.
Manyanza waambie wenzako
Habari yako. Upo mkoa upi , wilaya ,mtaa na namba ya nyumba. Ukinipa na contact zako itapendeza. Kuna moja la msingi nataka Ku share nawe
 
Habari yako. Upo mkoa upi , wilaya ,mtaa na namba ya nyumba. Ukinipa na contact zako itapendeza. Kuna moja la msingi nataka Ku share nawe
Hapana anuani yangu haihusiki
Me matangazo yangu nafanya IG
Wala jina la kampun sikupatii
 
Back
Top Bottom