Ukianza kulima mambo ya masimu unaweka pembeniPande zipi mkuu, mi nataka niende kyera kule mbeyaa
Yes kabisa Miss Nakadori , apology sijakutafuta cause nimepata msiba wa yule ex Classmate wangu halafu mimi ni Katibu wa hiyo Community. Jioni nitakuchekiSio forex wala maana hiyo nlishajaribu nkaona picha picha nkapotezea
Hadi ma book nlinunua ya forex nkajionea ushubwada
Nakwambia nalipa kodi ni ishu halali kabisa
In short nafanya consultation ya mambo flani flan
Manyanza atakuleta ofisini kwangu ila kwa appointment. Sio nikupe mchongo ila uone kwamba nafanya kitu halali
Fursa ni nyingi sana aisee, lakini cha msingi uwe muaminifu tu. Leo nimepewa fursa na mtu yupo Ifakara huko kwa sababu 2 months ago nilimtengenezea flyers na business card tu. Kanipigia anataka vifaa fulani vya umeme na bajeti yake ni kubwa. Yaani la msingi ni kutengeneza uaminifu tu kazi zitakufuata haijalishi umbali. Mfano mwezi January kuna mtu alinitumia pesa alikuwa anataka kandambili kila pair ali quote 10,000 Mimi nikazinunua kwa sh 4,000 kwenye machimbo ya Kariakoo. Wadau tusiwe wachoyo katika kupeana michongo lakini iwe halali mbele ya Mamlaka ya nchi. Kwani wakina Jeff Bezos au Jack Ma wanapigaje hela ?Asee kuna jamaa kaja inbox me hata sijamjibu na sitegemei kumjibu.
Kama ww tapeli usione kila mtu tapeli. Be positive jifunze hata kwa kupita kwenye vistationery tu vya mtaani utapata kitu.
Sasa kama salary slip tu mtu analipa adownlodiwe ndo ishu kubwa.
Watanzania wengi hawana matumizi sahihi ya mitandao kwa faida na hawana maarifa hebu fikiria mtu ana simatifoni halafu anaitumia kuangalia udaku na mambo yasiyofaa. Natoa idea nyingine na hii Wajinga mseme ni utapeli. Hivi mtu una simatifoni yako ukapita kwenye maduka ya nguo, vipodozi au viatu ukamuomba mwenye duka upige picha bidhaa zake halafu uweke whatsapp status na ukaweka na bei yako na cha juu na vile ukatafuta magroup mengi ya whatsapp ukajoin ukawa unatangaza bidhaa mbalimbali ambazo umezipiga picha kwenye maduka ya watu ni lazima utapata Wateja tu. Hiyo ni Simatifoni Duka. Zipo idea nyingi mnooooNlikuwa nakuchukulia poa ila sasa nakuheshimu mkuu.
Weka nondo ila oya oya watakwambia hawana mitaji mara ooh boda kapasuka kichwa
Hawa ni wale wanawaagizia watu magari mtandaoni, wapo watu kibao wanaogopa, hawapendi kukisumbua au hawajui kuagiza gari online...so jamaa anaingia beforward anamtumia picha kisha anamwambia deposit kiasi fulani...gari ikifika unakamilisha....Binafsi ukiniambia kuna mchongo WA hela unachotakiwa ni kuwa sharp na lapt top yako huku unakunywa wine...
Akili ya kawaida inaniambia ni "crime related"...
Sasa kama ni uhalifu ...basi hupaswi kuwaambia ambao hawajihusishi kuwa wavivu au wamezubaa.....
Wewe endelea na michongo....lakini ambao hawafanyi Haina maana hawajui wengine wanajua hawataki
Siri ya kambi kama ni kudangaAsa hiyo ishu si ndo utuambie na sisi mkuu[emoji5]
Nakadori ni mwanamke banaKumbe Nakadori ni mwanaume?
HahahaBinafsi ukiniambia kuna mchongo WA hela unachotakiwa ni kuwa sharp na lapt top yako huku unakunywa wine...
Akili ya kawaida inaniambia ni "crime related"...
Sasa kama ni uhalifu ...basi hupaswi kuwaambia ambao hawajihusishi kuwa wavivu au wamezubaa.....
Wewe endelea na michongo....lakini ambao hawafanyi Haina maana hawajui wengine wanajua hawataki