Nimeamini mjini akili tu

Nimeamini mjini akili tu

πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
Veepe kuna tusi jipya kwenye kamusi yenu??
Napita kwa kucheza kwakweli.
Pale ambapo najua Mungu halali wala hasinzii.
And you know what??? Publicity is publicity
 
20230402_200145.jpg


Kazi ziendelee
Sina cha week end...
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Uzi unfurahisha sana huuu 🀣🀣🀣🀣🀣🀣😁😁😁
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Mwishoni kila mtu atafunga hesabu
Mwingine hesabu ya matusi
Mwingine hesabu za dollars (say it again ....dollars )
 
Sio forex wala maana hiyo nlishajaribu nkaona picha picha nkapotezea
Hadi ma book nlinunua ya forex nkajionea ushubwada
Nakwambia nalipa kodi ni ishu halali kabisa
In short nafanya consultation ya mambo flani flan
Manyanza atakuleta ofisini kwangu ila kwa appointment. Sio nikupe mchongo ila uone kwamba nafanya kitu halali
Yes kabisa Miss Nakadori , apology sijakutafuta cause nimepata msiba wa yule ex Classmate wangu halafu mimi ni Katibu wa hiyo Community. Jioni nitakucheki
 
Asee kuna jamaa kaja inbox me hata sijamjibu na sitegemei kumjibu.
Kama ww tapeli usione kila mtu tapeli. Be positive jifunze hata kwa kupita kwenye vistationery tu vya mtaani utapata kitu.
Sasa kama salary slip tu mtu analipa adownlodiwe ndo ishu kubwa.
Fursa ni nyingi sana aisee, lakini cha msingi uwe muaminifu tu. Leo nimepewa fursa na mtu yupo Ifakara huko kwa sababu 2 months ago nilimtengenezea flyers na business card tu. Kanipigia anataka vifaa fulani vya umeme na bajeti yake ni kubwa. Yaani la msingi ni kutengeneza uaminifu tu kazi zitakufuata haijalishi umbali. Mfano mwezi January kuna mtu alinitumia pesa alikuwa anataka kandambili kila pair ali quote 10,000 Mimi nikazinunua kwa sh 4,000 kwenye machimbo ya Kariakoo. Wadau tusiwe wachoyo katika kupeana michongo lakini iwe halali mbele ya Mamlaka ya nchi. Kwani wakina Jeff Bezos au Jack Ma wanapigaje hela ?
 
Nlikuwa nakuchukulia poa ila sasa nakuheshimu mkuu.
Weka nondo ila oya oya watakwambia hawana mitaji mara ooh boda kapasuka kichwa
Watanzania wengi hawana matumizi sahihi ya mitandao kwa faida na hawana maarifa hebu fikiria mtu ana simatifoni halafu anaitumia kuangalia udaku na mambo yasiyofaa. Natoa idea nyingine na hii Wajinga mseme ni utapeli. Hivi mtu una simatifoni yako ukapita kwenye maduka ya nguo, vipodozi au viatu ukamuomba mwenye duka upige picha bidhaa zake halafu uweke whatsapp status na ukaweka na bei yako na cha juu na vile ukatafuta magroup mengi ya whatsapp ukajoin ukawa unatangaza bidhaa mbalimbali ambazo umezipiga picha kwenye maduka ya watu ni lazima utapata Wateja tu. Hiyo ni Simatifoni Duka. Zipo idea nyingi mnoooo
 
Binafsi ukiniambia kuna mchongo WA hela unachotakiwa ni kuwa sharp na lapt top yako huku unakunywa wine...
Akili ya kawaida inaniambia ni "crime related"...

Sasa kama ni uhalifu ...basi hupaswi kuwaambia ambao hawajihusishi kuwa wavivu au wamezubaa.....

Wewe endelea na michongo....lakini ambao hawafanyi Haina maana hawajui wengine wanajua hawataki
Hawa ni wale wanawaagizia watu magari mtandaoni, wapo watu kibao wanaogopa, hawapendi kukisumbua au hawajui kuagiza gari online...so jamaa anaingia beforward anamtumia picha kisha anamwambia deposit kiasi fulani...gari ikifika unakamilisha....
 
Ushauri wa muhimu kwa Nakadori ambaye ameanzisha huu uzi. Inatakiwe afahamu kuna Mungu muumba wa vitu vyote na huyo Mungu tumemfahamu kupitia vitabu vitakatifu Bible na Quran. Kwenye Bible kuna mstari unasema Mtu anayejikweza atashushwa na anayejishusha atakwezwa (Atainuliwa). Miss Nakadori jishushe waeleze na wenzako jinsi unavyoingiza pesa na kamwe hauwezi kupungukiwa na chochote maana anayetoa riziki ni Mungu pekee . Unachokipata sio kwa sababu ya ujinga wa Watanzania bali ni Mungu ameamua kukufanya upate. Wafundishe na wengine ili wapate na Mungu baba muumba wa vitu vyote atakubariki na kukufungulia milango zaidi ya kupata. I know you though sio sanaa. Shusha michongo hiyo yaani iwe sandakarawe atakayepata na apate.
 
Biashara zipo legit kibao, kuna issue za kuwasaidia walemavu wapate misaada ktk mashirika ya nje, mlemavu we na cheti pia utawatumia evidence so unakula pasuu,kuwasaidia watu kupata vyeti vya kuzaliwa kihalali,crypto transaction, paypal,skrill,transaction. Third part payments, Go fundme na mengineyo pesa za bure zipo ukiamua kujiongeza kila kitu kina fursa
 
Binafsi ukiniambia kuna mchongo WA hela unachotakiwa ni kuwa sharp na lapt top yako huku unakunywa wine...
Akili ya kawaida inaniambia ni "crime related"...

Sasa kama ni uhalifu ...basi hupaswi kuwaambia ambao hawajihusishi kuwa wavivu au wamezubaa.....

Wewe endelea na michongo....lakini ambao hawafanyi Haina maana hawajui wengine wanajua hawataki
Hahaha
 
Back
Top Bottom