Penye tatizo ama ignorance Kuna hela.
Mfano Kuna mradi mmoja nauwaza unamiliki boda unampa kijana ,Hawa akina mama wanabakia home , wanafua,Wana watoto wananyonyesha,wanacheki series,tamthilia,wanapiga soga wanakuwa wavivu wa kwenda magengeni kufanya maemezi lunch nakuwa na app yangu Kama Uber wanatuma Oda zao nazo asubuhi nanunua Kama nyanya za 300,kitunguu Cha 200,dagaa 1000, mchicha wa 500,
Mafuta ya kula ya 200 nampelekea mafuta wananilipa kwa mwezi ama kila mmama anatoa 250 Mana natafuta eneo ambalo ni congested. Maana ukipata Kama Kaya buku ivi unalaza kitu Kama 200k unamzidi mwenye PhD anayelilia kutoteuliwa u rc pia.
Nyingine unapika chakula unakuwa na mdada unatafuta networks wale wavivu wa kupika ama mabachelor unawapelekea lunch wakiwa maghetoni Mana wapo wasiopenda kutoka kama vile mkiwa loji ndani kwa ndani unaletewa msosi hamshuki chini mana mko na nguo laini,Hawa Kuna service Kama ya 500,