Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 964
- 2,675
1. Kuanguka kwenye uzinzi na uashareti na wanawake wa ovyo na kupelekea kupata mikosi ya kila namna.
2. Kupata kesi za mimba na watoto usiowatarajia kutoka kwa wanawake unaolala nao.
3. Kwenda jela kutokana na vurugu za wanawake.
4. Kufa mapema au kutendewa vitendo vya aibu kwa kutembea na wake za watu au mademu wa watu.
5. Kuishi kimetego mitego kama digidigi kutokana na majanga uliyonayo juu ya wanawake
Mimi naenda zangu
Pimbii wa Ludewa sasa naelekea Dar.
2. Kupata kesi za mimba na watoto usiowatarajia kutoka kwa wanawake unaolala nao.
3. Kwenda jela kutokana na vurugu za wanawake.
4. Kufa mapema au kutendewa vitendo vya aibu kwa kutembea na wake za watu au mademu wa watu.
5. Kuishi kimetego mitego kama digidigi kutokana na majanga uliyonayo juu ya wanawake
Mimi naenda zangu
Pimbii wa Ludewa sasa naelekea Dar.