Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
Awe hata na kibustani kitam-keep busy.Ungefanya kumpa kazi sasa Kama hupendi awe mbea.
Nikwel kabisaVizee vinavyopenda kushinda vijiweni kupiga umbea, wengi wao ndio huwa vigagula vya kupaa usiku.
Eheee kumbeUtamaduni wa hovyo kuwahi kutokea.
Wana hatari.hahaha
Sikatai, Umbeya upo sehemu nyingi ila sio saa mbili asubuhi.Maisha yetu wote yanafanana ,
Kama huyo Mzee yupo kijiweni akipiga umbea kuwasema watu.
Basi watu wengine wapo mitandaoni wakijadili umri na maisha ya watu.
Yaani kifupi tupo gereza moja tofauti ni aina ya adhabu tulizonazo Siumbea upo
Miaka 50 sio miaka mingi sana kumuita mtu mzee
Aisee๐๐๐๐Vizee vinavyopenda kushinda vijiweni kupiga umbea, wengi wao ndio huwa vigagula vya kupaa usiku.