johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli nimeamini na nimekubali kuwa katika ulimwengu wa siasa Tanzania inafuata utawala wa sheria.
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema ataongea na Jaji mkuu wa nchi hiyo ili kufuta dhamana kwa washtakiwa wote waliotenda kosa la kuandamana bila kibali.
Museveni amesisitiza kuwa kama Jaji mkuu hatakubaliana naye basi ataitisha kura ya maoni ili kubadili katiba.
Taarifa za kauli za Rais Museveni zimeripotiwa na ITV habari.
My take; Tanzania dhamana kwa wanasiasa ziko wazi.
Maendeleo hayana vyama!
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema ataongea na Jaji mkuu wa nchi hiyo ili kufuta dhamana kwa washtakiwa wote waliotenda kosa la kuandamana bila kibali.
Museveni amesisitiza kuwa kama Jaji mkuu hatakubaliana naye basi ataitisha kura ya maoni ili kubadili katiba.
Taarifa za kauli za Rais Museveni zimeripotiwa na ITV habari.
My take; Tanzania dhamana kwa wanasiasa ziko wazi.
Maendeleo hayana vyama!