Nimeamini Tanzania tuna utawala wa sheria, kule Uganda Rais Museveni amesema ataongea na Jaji Mkuu dhamana kwa waandamanaji ifutwe!

Nimeamini Tanzania tuna utawala wa sheria, kule Uganda Rais Museveni amesema ataongea na Jaji Mkuu dhamana kwa waandamanaji ifutwe!

Mkuu for decades Uganda used to be a killing field, thousands if not millions perished between seventies and early nineties.

Na sababu zinaanzia mbali zaidi ya hapo baada ya uhuru waziri Mkuu Obbote kutunishana misuri na Mfalme Kabaka wa Buganda.Obbote akatumia jeshi kumuangamiza Mfalme Kabaka lakina nae Mfalme Kabaka a Sandhurst trained commodore aliyaangamiza vikosi vya jeshi la Obbote kabla hajasaidiwa na Iddi Amin kukata umeme uliokuwa nyezo kuu ya Electric powered Machine gun.

Lakini commodore Mfalme akaweza kuwatoroka katika mavazi ya utawa yaani sister.

Naye Obbote akaja ondolewa na Idd Amin, na Amin akatawala kwa mkono wa chuma aliangamiza watu malaki kama si mamilioni.
Si hiyo tu Wapinzani wa Amin wakisaidiwa na serikali ya Tanzania wakaja muondoa Idd Amin na baadae kumrudisha Obbote kwenye madaraka.

Obbote safari hii aliingia kulipiza kisasi akauwa waganda kwa maelfu na alipozidiwa akapora pesa zote za hazina na kukumbilia Zambia.

Katika danadana ya kuwania Uongozi ndipo akaja Museveni na NRA akaweza kuituliza na kuiunganisha nchi.

Museveni amepunguza ukabila na kujenga utaifa.

Usione vya elea,Uganda wanamhitaji Museveni labda kuliko anavyowahitaji.
Naomba kuyaweka sawa kidogo.

Kabaka ni mfalme/chifu/malafyale wa kabila la Baganda. Kabaka wakati huo alikuwa ni Edward Mutesa, ambae baada ya uhuru wa Uganda, alikuja kuwa pia rais wa nchi hiyo. Milton Obote akiwa Waziri Mkuu ambae ndio kiongozi wa Nchi.
 
Kati ya Nchi Afrika zenye Raia Zezeta,basi Uganda ni no1.
Na ujinga wao huo ndo unampa kiburi Mh Dikteta.
Yani imefka hatua Mseveni katangaza ushindi kabla ya uchaguzi!!sasa nini maana ya kuwasumbua Raia kama unajua na unalengo kabsa kuwa huwezi kuachia ngazi??
Nyambafu Waganda!!
Unaacha kwako, nyani haoni kundule.
 
Mkuu for decades Uganda used to be a killing field, thousands if not millions perished between seventies and early nineties.

Na sababu zinaanzia mbali zaidi ya hapo baada ya uhuru waziri Mkuu Obbote kutunishana misuri na Mfalme Kabaka wa Buganda.Obbote akatumia jeshi kumuangamiza Mfalme Kabaka lakina nae Mfalme Kabaka a Sandhurst trained commodore aliyaangamiza vikosi vya jeshi la Obbote kabla hajasaidiwa na Iddi Amin kukata umeme uliokuwa nyezo kuu ya Electric powered Machine gun.

Lakini commodore Mfalme akaweza kuwatoroka katika mavazi ya utawa yaani sister.

Naye Obbote akaja ondolewa na Idd Amin, na Amin akatawala kwa mkono wa chuma aliangamiza watu malaki kama si mamilioni.
Si hiyo tu Wapinzani wa Amin wakisaidiwa na serikali ya Tanzania wakaja muondoa Idd Amin na baadae kumrudisha Obbote kwenye madaraka.

Obbote safari hii aliingia kulipiza kisasi akauwa waganda kwa maelfu na alipozidiwa akapora pesa zote za hazina na kukumbilia Zambia.

Katika danadana ya kuwania Uongozi ndipo akaja Museveni na NRA akaweza kuituliza na kuiunganisha nchi.

Museveni amepunguza ukabila na kujenga utaifa.

Usione vya elea,Uganda wanamhitaji Museveni labda kuliko anavyowahitaji.
Usione vya elea,Uganda wanamhitaji Museveni labda kuliko anavyowahitaji.
Oooh hapa nimekuelewa vema.Hakika Hawezi kumwachia mvaa milegezo Bob Wine nchi alitoipata kwa dam.Daaah acha awatawale milele!!
 
Yule M7 ni Nduli Idd Amini Dada, Santuri ya Volume II! Waganda hawatamuweza kwani kumbukumbu zinaonyesha hata Idd Amin mwenyewe kama sio Tanzania pengine angefia madarakani!
 
Back
Top Bottom