ππMi mwenyewe ni Mgonjwa sana wa English figures (Vimodo), nimeamua kuwa mnafki tu [emoji23]
πππ tchaaaah eeh!!
Kwamba nyie ni watakatifu sana sio.
Hawa wake za watu wanaofumaniwa na vijana wadogo sio wanawake?
Hashindwi yule na anavyopenda lifti πHapa nataka nimpigie simu nijue anaendeleaje?? Asije kutokea Burundi au Kongo kwa kipigo cha magoli πππ
Umesema kweli..Mbona kama wewe ndo unatafuta kutongozwa, watu wana familia yao wewe daily upo tu.
Kwanini huyo bibie asije kwako uliesingo badala yake uende kumtega tega mumewe mpaka anakutongoza hadharani mchana kweupe pee.
ππ
Hizo zitakuwa jinsia za sayari nyingine mkuu..
Ahsante kwa usikivu wako..!π€
Wewe ni nani kwani? Mbona kama unajitoa π πWanaume ndivyo walivyo, hawaaminiki kamwee.
Mimi sikubali mpk nikakipige kiberiti kilinge cha ustaadhi hawezi kula pesa ya mkinga bure π€£π€£π€£π€£Hivi tunaachajwe kizembezembe hivi jamani?kesho Kuna kikao Cha dharula,hapa Kuna mawili,ustaadhi wa unguja katulia Hela au kungwi wa maneromango katulisha matangopori,,,Lamomy kikao Cha dharura
Basi vunga πNapenda sana
"Shindwaaa" haijatokea kwenye chemchemi za roho yako, ulipewa bure pia bariki bure Miss Gf[emoji848]Shindwaaa
Wengine shangazi zangu, ni vile tu huwajui wote π πNishakufumania na mashangazi watatu mpaka sasa hivi! Nimekwambia wakifika 20 mimi na wewe basiπ
Watamteka shauri yake πππHashindwi yule na anavyopenda lifti π
Acha wamteke tu maana juzi si alikataa goli la azizi ki πWatamteka shauri yake πππ
Kwa msaada wa Lucasmwashamba lazima ufike leo leo Dar.Dar nafika kesho
Hupendi kutongozwa, sema ukweli? Hujasikia raha kuona mume wa rafiki yako kapagawa na urembo wako hata kama humtaki?Dah! Mkuu umeshiba magimbi unakuja kuniachia mishuzi mimi
mtu hana smartfone anawezaje kuwa mwema. ni kujikaza tuPoint ni kwamba
Nilikua nina imani kuna wanaume watulivu
Jinsi baba Cathe anavyomtenda mke wake vizuri nikajua kweli wanaume watulivu wapo 100%
Kitendo alichokifanya kwangu kimenifanya nione mwanaume anaweza kua mwema kwa mkewe lkn ana makandokando kayaficha bila kuonesha dalili yoyote.
Mimi nipo upande wako kiroho na kimwili .yaani nipo wote wote kwako.Nitakupenda Daima. hata wageuke wote na kukushambulia wewe lakini katu mimi sitageuka kuwa jiwe . ephen wewe ndiye uliyebeba moyo wangu katika jf. Nitatukanwa na wote na kila mtu lakini wewe hata unufanyie nini baya bado nitaongeza na kuchochea upendo wangu kwako.Bora nimwite Lucas Mwashambwa yeye atakua upande wanguπ