Nikweli,hili nimeliona pia,....kama ningelikuwa SINA AKILI, basi ningelipiga Mashemeji mpa mama wadogo....ni vyema kukaa nao mbali tu...Rafiki yangu alinikaribisha kwake akaniambia uhuru ni vema tuwe tunatembeleana nikakwambia nitafanya hivyo nikioa
Nakushauri usipende kwenda kutembelea nyumba za walio olewa tembelea spinsters kama wewe au bachelors huko kwingine acha watu waishi kwa amani
Mara uchochoro mara kibarazani,uswazi huko,waswahil hamuaminiki,ni full maigizoHabari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%
Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.
Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.
Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.
Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.
Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'
Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.
Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu
Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.
Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?
Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!
Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
Alichokosea, na kukosea sana ni kukutaka weweHabari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%
Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.
Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.
Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.
Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.
Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'
Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.
Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu
Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.
Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?
Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!
Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
Kwa nini tena? Ikitokea ukamkubalia, utaweza kumwangalia mkewe usoni?Kwanini
Wote huwa wanamaanisha, lakini wanaishiaga kutafuta mume wa kama upepo wa kisulisuli..!!Namaanisha ninachokisema
Asante sana, nayaheshimu mawazo yako pia.Nimeheshimu mawazo yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yupii huyoo?Wifi wana wa Israel wanifiche wananiweza??
Ww nishakwambia bro yupo na maokoto mengi njoo nikupe mbinu tumpune unazingua..!! Kuna wenzio kibao wanampigia mingle shauri yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa na mie nitongozwe na apeche alolo, c uchuro na gundu hii? Em kwendraaaaa huko.Nitongoze mtu anaetaka pesa mda wote kama ndugu yake ili nigundue nini[emoji23][emoji23][emoji23]wambwebwe
Toka nioe sijawahi kucheat.Ushaingiza ukabila? Ni ajabu kuona unakariri vitu vyangu.....
Hujawahi kucheat?
Wanaume wote mnacheat!
Kama hujawahi kucheat Excellent..!Toka nioe sijawahi kucheat.
Nazungumzia ndoa sio mapenzi ya kifala ya boy friend na girl friend.
Ni ndoa ya tatu hii toka ya kwanza sikuwahi kucheat.
Hivyo rekebisha kauli,si kila kitu hutokwa asilimia mia,hata hiyo mashine haina ufanisi wa asilimia mia.
Narudia wapo wanaume tu watulivu kwa wakezu hatuwasaliti.
Ova
EID MUBAARAK.
Hii ya ku cheat ndio inayoongeza upendoWanaume wote kumbe wanacheat.....!
Sio kwamba anakufokea, heading ya Uzi wako ndio imeleta yote hayo π π π
Tena mbali kabisa na huenda usingepiga ila wangeharibu mahusiano Yako wanawake wako vizuri sana kwenye ku ruin ndoa hasa za mabest zao wakiwa na kauli "alinitaka mwenyewe"kumbe amekutega hadi ukaingia lineNikweli,hili nimeliona pia,....kama ningelikuwa SINA AKILI, basi ningelipiga Mashemeji mpa mama wadogo....ni vyema kukaa nao mbali tu...
Huo uzi nadhani ulinipita, ulikua unasema aje?
Kaa mbali na Baba Cathe, tunakupa onyo la mwishoNi kweli huwa mnawatongoza wenyewe wanawake
Mjifunze kuzuia tamaa zenu jamaniiiii