Nimeamini wanaume hawaaminiki

Yaan hapo uduguu utakua umecheza km Pele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We si ulisema huwezi kufa kwaajili yake?? 🤣🤣🤣
Ushaona umuhimu wa vocha za bure na miamala?? Yani nacheka hapa udugu mpk sio poah!!
Hayo mambo niachie mi dada ako mgumu halafu jeuri na sijali wala nini!!! 🤸‍♀️


Shem Mjep naomba uje kwa heshima na taadhima niko chini ya miguu yako, mdogo wangu atakufa kwaajili yako, njoo useme neno roho yake ipone…!!! Ss hivi kaacha kabisa mawenge na hakuchachui tena hata umpige.
Uko wapi upendo wako wa zamani?? Coca anakuita rudi…!! Hii mara ya mwisho simuombei tena msamaha.
Halafu coca kasema anataka akupe zawadi ya eid ila piem zake hurespond kasema 😜
 
Nahitaji atakayenifanya mke/mwanamke peke yangu na sio mke/mwanamke wa kwanza kwamba utaleta mwingine wa pili, tatu....
Anything from you mrembo. You will be the one and only. Nifungulie moyo huo 😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…