Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwani Huko nje tunatembea na wanaume? Si ni wanawake pia??Wanaume tuoneeni huruma
Njoo nikufanye uwe mke wa kwanza 😎Sawa napokea hizo lawama
Siwezi kuolewa mke wa pili mimiii
We si ulisema huwezi kufa kwaajili yake?? 🤣🤣🤣Yaan hapo uduguu utakua umecheza km Pele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi hata sinaAcheni kutufata...
Anything from you mrembo. You will be the one and only. Nifungulie moyo huo 😊Nahitaji atakayenifanya mke/mwanamke peke yangu na sio mke/mwanamke wa kwanza kwamba utaleta mwingine wa pili, tatu....
Sasa mbona unaruka sarakasi, umevaa tight ndani? 😅😅Kwenye moyo wangu upo wewe🤸♀️
Muongo, hebu tuone 😎Nimevaa tight ya pink
Equation x naomba uniwekee ile emoj ya yule mdada anacheza mziki mchumba anioneMuongo, hebu tuone 😎
Sioni kosa la baba Catherine,anakupenda, kupenda hakuna idàdi.unaweza kuwapenda hata kumiHuyo ni sterling....yaani hapo mkewe hatokaa agundue labda siku alete Kaswende nyumbani
Wewe ni emoji? 😅Equation x naomba uniwekee ile emoj ya yule mdada anacheza mziki mchumba anione
Utapeli huu 😀Nimevaa tight ya pink
Ananitega kama alivyomfanyia Baba CatheUtapeli huu 😀