Nimeamini wanaume hawaaminiki

Nimeamini wanaume hawaaminiki

Habari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%

Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.

Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.

Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.

Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.

Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'

Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.

Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu

Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.

Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?

Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!

Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
wanadamu wote kwa asili hawaaminiki, ni waovu, wanaweza kuacha uovu kwa nguvu za Mungu tu, baada ya kumpokea Yesu Kristo na kujazwa Roho Mtakatifu atakayewasaidia kushinda dhambi. wewe unayesoma hapa kumbuka maneno haya, au hata wewe unayetafuta mume au mke, nakuhakikishia mke wa kweli au mume wa kweli utampata kama utakuwa mikononi mwa Mungu, ama la, hata ukimpata mwanamke mzuri au mwanaume handsome, asipokuletea ukimwi, atakuletea watoto wa nje, atakupiga, atakengeuka, atakuletea michepuko na vyote unavyovijua. na hiyo ni kwa wote wanaume na wanawake. tunaacha au kushinda dhambi kwa msaada wa Mungu tu, ila kwa uwezo wetu hatuna nguvu ya kushinda dhambi hata tungeweka sheria za namna gani.ndio maana tunasema muokoke. tafuteni wokovu,kimbilieni huko ndiko kwenye pona yenu.

jirani yangu ni msomi, anafanya kazi chuo kikuu fulani, ana mke mzuri na msomi mwenye mshahara mzuri, ukirudi unawakuta wamekaa nje, wameshikana mikono utafikiri njiwa wanavyopendana, ila kuna siku mwanaume alirudi mchana akataka kumbaka housegirl, binti kapiga kelele akaokolewa na majirani. kumbe kila housegirl anayekuja yule jamaa huwa anamlala na mama akigundua hilo anamwondosha. ila ukimwangalia kwa nje, huamini kama jamaa ana udhaifu huo, wa kumdhalilisha mkewe kwa mahousegirl. hawezi kushinda, hawezi kuacha hilo hadi aokoke, na kama hataokoka mwisho wake ni mbahya.
 
wanadamu wote kwa asili hawaaminiki, ni waovu, wanaweza kuacha uovu kwa nguvu za Mungu tu, baada ya kumpokea Yesu Kristo na kujazwa Roho Mtakatifu atakayewasaidia kushinda dhambi. wewe unayesoma hapa kumbuka maneno haya, au hata wewe unayetafuta mume au mke, nakuhakikishia mke wa kweli au mume wa kweli utampata kama utakuwa mikononi mwa Mungu, ama la, hata ukimpata mwanamke mzuri au mwanaume handsome, asipokuletea ukimwi, atakuletea watoto wa nje, atakupiga, atakengeuka, atakuletea michepuko na vyote unavyovijua. na hiyo ni kwa wote wanaume na wanawake. tunaacha au kushinda dhambi kwa msaada wa Mungu tu, ila kwa uwezo wetu hatuna nguvu ya kushinda dhambi hata tungeweka sheria za namna gani.ndio maana tunasema muokoke. tafuteni wokovu,kimbilieni huko ndiko kwenye pona yenu.

jirani yangu ni msomi, anafanya kazi chuo kikuu fulani, ana mke mzuri na msomi mwenye mshahara mzuri, ukirudi unawakuta wamekaa nje, wameshikana mikono utafikiri njiwa wanavyopendana, ila kuna siku mwanaume alirudi mchana akataka kumbaka housegirl, binti kapiga kelele akaokolewa na majirani. kumbe kila housegirl anayekuja yule jamaa huwa anamlala na mama akigundua hilo anamwondosha. ila ukimwangalia kwa nje, huamini kama jamaa ana udhaifu huo, wa kumdhalilisha mkewe kwa mahousegirl. hawezi kushinda, hawezi kuacha hilo hadi aokoke, na kama hataokoka mwisho wake ni mbahya.
NImeelewa mkuu!
 
wewe unakoelekea unaenda kuvunja ndoa ya watu. Kiherere cha kwenda kimtego tego kwa mume wa mtu unataka kuleta kizaa zaa sasa.
kAMA utajaribu kumwambia mama cathy kuwa bba cathy kakutongoza nitakuua mchana kweupe nikiwa live Instagram. Naagiza mpe huo utamu muachane vizuri
Kiherehere mwenyewee!
Sitoenda tena kwao..!
 
Mwanamke akipenda kweli kweli acheat lakini sio mwanaume hawajaumbwa hivyo Yani hayo sio maumbile yao
 
Mwanamke akipenda kweli kweli acheat lakini sio mwanaume hawajaumbwa hivyo Yani hayo sio maumbile yao
mwanamke hata akipenda kwelikweli anacheat tu, ila kwasababu unaamini anakupenda hawezi kufanya hivyo ndio maana huwezi kumfumania. mwanamke yeyote asiye na Mungu moyoni (asiyeokoka kwa kweli), anacheat sana na hata usipomkuta jua tu kuwa ameshawahi kukucheat. huu ndio ukweli mchungu. makazini huko, kwenye biashara, masafarini, au ukienda kazini kama wa kwako ni golikipa atapitiwa hata na houseboys au majirani. pona yako mwambie aokoke tu, na asiokoke kwenye makanisa ya uongo ya wauza mafuta hayo, aokoke kwenye makanisa yanayohubiri wokovu wa kweli. hapo hatakuogopa wewe, atamhofu Mungu.
 
Habari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%

Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.

Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.

Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.

Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.

Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'

Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.

Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu

Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.

Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?

Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!

Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
🤣🤣🤣Baba Cathe ni mtu na nusu, wanaume tuacheni tu🤣🤣
 
We si ulisema huwezi kufa kwaajili yake?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushaona umuhimu wa vocha za bure na miamala?? Yani nacheka hapa udugu mpk sio poah!!
Hayo mambo niachie mi dada ako mgumu halafu jeuri na sijali wala nini!!! [emoji2222]


Shem Mjep naomba uje kwa heshima na taadhima niko chini ya miguu yako, mdogo wangu atakufa kwaajili yako, njoo useme neno roho yake ipone…!!! Ss hivi kaacha kabisa mawenge na hakuchachui tena hata umpige.
Uko wapi upendo wako wa zamani?? Coca anakuita rudi…!! Hii mara ya mwisho simuombei tena msamaha.
Halafu coca kasema anataka akupe zawadi ya eid ila piem zake hurespond kasema [emoji12]
@Mjep ukuje hapa usomee ujumbee kutoka kwa dada angu.
 
Habari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%

Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.

Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.

Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.

Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.

Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'

Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.

Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu

Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.

Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?

Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!

Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
Ma legends tushaelewa ,Hapo unataka tukupe mbinu za kuweza kutoka na Baba cathe

Sasa sikia we sahv mkikutana sehemu mataa yanaruhusu mpe no..Mengine atayamalizia mwenyewe
 
Back
Top Bottom