Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Mbinu za kunikwepa hizi,,mimi nimekubaliiiiiiHapo ukiskia kupima mdudu kidogo pressure lazima iwe juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinu za kunikwepa hizi,,mimi nimekubaliiiiiiHapo ukiskia kupima mdudu kidogo pressure lazima iwe juu
Pole sana mkuu.,...The Naked Truth.naamini pengine amepata aliye Bora kuliko mimi,
HIi sasa kaliNtamweleza Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU hili jambo
Demu kaona mshikaji haeleweki.Usirogwe ukaanza kutaka kujua kwanini kabadilika, kula buyu akijishtukia ailete uifinye ila hapo huna mpenzi.
Hawana sababu maalum ya kubadilika hao.Demu kaona mshikaji haeleweki.
Sasa akiamua kujitoa msilalamike
Aya Sasa mwinginee huyooooo 🤣🤣🤣Heshima yenu wana JF,
kiukweli wanawake hawajawahi kueleweka, nilikuwa na mpenzi wangu ambae tumedumu kwa miezi mitatu.
Lakini ndani ya wiki naona mabadiliko kwake, unatuma sms asubuhi inajibiwa mchana, siamini Kama ni yule mwanamke ambae muda mwingi alikuwa ananisumbua kwa call za Mara kwa mara,
Sasa hivi inapita siku nzima no sms no call, kinachonipa faraja nimepiga Mara nyingi Sana,naamini pengine amepata aliye Bora kuliko mimi, nimeamua na kupiga kimya nijue mwisho wake ni upi,nahitimisha kwa kusema mapenzi hayana dhamana, na kuachwa hakuna muda maalumu.
Amekuwa kama Vera Sidika ambaye ujanani hakuwa na tako na alikuwa mweusi tii? Hapo kumtambua ni vigumu sana.Kwa niliyo yaona kwa mchumba wangu wa Darasa la 4 Jackline aliekua ni mtoto wa mwalimu wa maarifa ya jamii kweli wanawake wanabadilika, akiwa mdogo alikua mweusi sahivi nimekutana nae ukubwani nikashindwa kumtambua maana kawa mweupe sana na nywele zake zimebadilika amekua kama blonde
Pole kwa kuachwa.Heshima yenu wana JF,
kiukweli wanawake hawajawahi kueleweka, nilikuwa na mpenzi wangu ambae tumedumu kwa miezi mitatu.
Lakini ndani ya wiki naona mabadiliko kwake, unatuma sms asubuhi inajibiwa mchana, siamini Kama ni yule mwanamke ambae muda mwingi alikuwa ananisumbua kwa call za Mara kwa mara,
Sasa hivi inapita siku nzima no sms no call, kinachonipa faraja nimepiga Mara nyingi Sana,naamini pengine amepata aliye Bora kuliko mimi, nimeamua na kupiga kimya nijue mwisho wake ni upi,nahitimisha kwa kusema mapenzi hayana dhamana, na kuachwa hakuna muda maalumu.
Kazi ya mwanamke ni kukusaidia. Atafute msaidizi mwingineHakuna upendo wa kudumu bali maslahi yakudumu.
Block kabisa huyó mwanamke Hadi akutafute mwenyewe vinginevyo unajitafuta matatizo ukiendelea kumbembeleza. Mwanaume wa ukweli hajipendekezi Kwa KEHeshima yenu wana JF,
kiukweli wanawake hawajawahi kueleweka, nilikuwa na mpenzi wangu ambae tumedumu kwa miezi mitatu.
Lakini ndani ya wiki naona mabadiliko kwake, unatuma sms asubuhi inajibiwa mchana, siamini Kama ni yule mwanamke ambae muda mwingi alikuwa ananisumbua kwa call za Mara kwa mara,
Sasa hivi inapita siku nzima no sms no call, kinachonipa faraja nimepiga Mara nyingi Sana,naamini pengine amepata aliye Bora kuliko mimi, nimeamua na kupiga kimya nijue mwisho wake ni upi,nahitimisha kwa kusema mapenzi hayana dhamana, na kuachwa hakuna muda maalumu.