Nimeamini wanawake hubadilika muda wowote ule

Nimeamini wanawake hubadilika muda wowote ule

Heshima yenu wana JF,

kiukweli wanawake hawajawahi kueleweka, nilikuwa na mpenzi wangu ambae tumedumu kwa miezi mitatu.

Lakini ndani ya wiki naona mabadiliko kwake, unatuma sms asubuhi inajibiwa mchana, siamini Kama ni yule mwanamke ambae muda mwingi alikuwa ananisumbua kwa call za Mara kwa mara,

Sasa hivi inapita siku nzima no sms no call, kinachonipa faraja nimepiga Mara nyingi Sana,naamini pengine amepata aliye Bora kuliko mimi, nimeamua na kupiga kimya nijue mwisho wake ni upi,nahitimisha kwa kusema mapenzi hayana dhamana, na kuachwa hakuna muda maalumu.
Aya Sasa mwinginee huyooooo 🤣🤣🤣
 
Kwa niliyo yaona kwa mchumba wangu wa Darasa la 4 Jackline aliekua ni mtoto wa mwalimu wa maarifa ya jamii kweli wanawake wanabadilika, akiwa mdogo alikua mweusi sahivi nimekutana nae ukubwani nikashindwa kumtambua maana kawa mweupe sana na nywele zake zimebadilika amekua kama blonde
Amekuwa kama Vera Sidika ambaye ujanani hakuwa na tako na alikuwa mweusi tii? Hapo kumtambua ni vigumu sana.

images (9).jpeg
images (10).jpeg

IMG_4859 (4).jpeg
 
Miezi mitatu ya mahusiano ni sawa na siku tatu,
Ni muda mfupi sana,fanya mambo yako chukua pisi ingine kula maisha
 
Demu wangu alianza kubadilika baada ya mwamba kumpa kifutio cha penseli 2001 amani primary school,mungu anamuona
 
Heshima yenu wana JF,

kiukweli wanawake hawajawahi kueleweka, nilikuwa na mpenzi wangu ambae tumedumu kwa miezi mitatu.

Lakini ndani ya wiki naona mabadiliko kwake, unatuma sms asubuhi inajibiwa mchana, siamini Kama ni yule mwanamke ambae muda mwingi alikuwa ananisumbua kwa call za Mara kwa mara,

Sasa hivi inapita siku nzima no sms no call, kinachonipa faraja nimepiga Mara nyingi Sana,naamini pengine amepata aliye Bora kuliko mimi, nimeamua na kupiga kimya nijue mwisho wake ni upi,nahitimisha kwa kusema mapenzi hayana dhamana, na kuachwa hakuna muda maalumu.
Pole kwa kuachwa.

Kitendo cha kuja kuandika hapa ni mfadhaiko. Wanaume hawaingii miguu yote kwa mwanamke. Jifunze sasa
 
Heshima yenu wana JF,

kiukweli wanawake hawajawahi kueleweka, nilikuwa na mpenzi wangu ambae tumedumu kwa miezi mitatu.

Lakini ndani ya wiki naona mabadiliko kwake, unatuma sms asubuhi inajibiwa mchana, siamini Kama ni yule mwanamke ambae muda mwingi alikuwa ananisumbua kwa call za Mara kwa mara,

Sasa hivi inapita siku nzima no sms no call, kinachonipa faraja nimepiga Mara nyingi Sana,naamini pengine amepata aliye Bora kuliko mimi, nimeamua na kupiga kimya nijue mwisho wake ni upi,nahitimisha kwa kusema mapenzi hayana dhamana, na kuachwa hakuna muda maalumu.
Block kabisa huyó mwanamke Hadi akutafute mwenyewe vinginevyo unajitafuta matatizo ukiendelea kumbembeleza. Mwanaume wa ukweli hajipendekezi Kwa KE
 
Back
Top Bottom