Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwani unadaiwa bei gani?Hivi wewe mbumbumbu unajielewa kweli? You are a living idiot
Sisi ndo wananchi kama tuliweza kuichangia yanga kipindi ime sanda tutashindwaje kwako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unadaiwa bei gani?Hivi wewe mbumbumbu unajielewa kweli? You are a living idiot
UmepanicKwani unadaiwa bei gani?
Sisi ndo wananchi kama tuliweza kuichangia yanga kipindi ime sanda tutashindwaje kwako?
Vita ya makolo na utopolo haijawahi kuacha mtu salamaWangekuwa makolo hapa zingejaa thread kibao
Moderators nao wanalea sana nyuzi za kindezi kama hizi,mtu akilala na njaa asubuhi anatunga uzushi na kupost humuHuu ujinga wana utopolo cjui mtauacha lini... kama hujui c uwe unauliza hata kwa vyura wenzio then ndo unakuja kuanzisha uzi humu... video mbona zinaonyesha tukio wazi kabisa!!
Lakini nyie wenyewe ndiyo mnapiga mayowe sana humu hicho ni kiashiria cha uwoga na hofu.Hata wafanye nini! Kamwe hawatashinda. Msimu huu Yanga ndiye Bingwa.
Ila ukweli Utopolo ni waduwanzi sana kumbeba huyo Msomali ni kielelezo kizuri kabisa cha upumbavu waoona sasa ulivyokuwa huna akili mama amefikaje hapa
shabiki wengi utopolo hamna akili na ni vichwa maji
View attachment 2116551
Alivunja kanuni za sokaHivi Dickson Job alifanya kosa gani kubwa mpaka afungiwe mechi 3 na faini juu?
Wanailipia kisasi yangaHivi Dickson Job alifanya kosa gani kubwa mpaka afungiwe mechi 3 na faini juu?
Hujui mpira kaa tu kimya. Mpumbavu.Hivi Dickson Job alifanya kosa gani kubwa mpaka afungiwe mechi 3 na faini juu?
kaa kimya ficha upumbavu wako. Nashangaa unaendelea kubishana zuzu wewe.Unaelewa maana ya makusudi?
vyura mmetoka wote kwenye vidimbwi.Hata wafanye nini! Kamwe hawatashinda. Msimu huu Yanga ndiye Bingwa.
vyura mmetoka wote kwenye vidimbwi.Hata wafanye nini! Kamwe hawatashinda. Msimu huu Yanga ndiye Bingwa.
Wawa alipomsukuma nchimbi kwa maksudi alipewa adhabu gani?Uto wote kutokea kwa yule msukule nguruwe pori hadi kwa bwana wake muuza magodoro akili zao zinafanana, eti hawajaona kama ni kosa kwa Dickson Job kumkanyaga Ngodya kwa makusudi 😂
Hivi Dickson Job alifanya kosa gani kubwa mpaka afungiwe mechi 3 na faini juu?