Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Mimi nimeshafanya sana hii anasaSisi wengine chips yai tomato na chili kwa pamoja ni mboga ya ugali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimeshafanya sana hii anasaSisi wengine chips yai tomato na chili kwa pamoja ni mboga ya ugali
Nyerere day lazima njaa ikuume!Jana nilikula chipsi aisee njaa imenitafuna sasa nakula ugali na dagaa, majirani sijui watanionaje!
ahahahah unasoga ka ugali kako lainiii unalia na chips yai 😂😂Mimi nimeshafanya sana hii anasa
Eeeh mzee, kipindi hicho chips za 500 unapata na unawekewa na kachumbari mixer pilipili. Ugali au wali unachuka vizuri sana na maji baridi.ahahahah unasoga ka ugali kako lainiii unalia na chips yai 😂😂
Unanikumbusha nilipofuata ushauri wa kula matunda alafu nikalala, nilikurupushwa na njaa saa 6 usiku na kwenda kutafuta chakula mtaani. Eti saladi!
Pyeeee kwa nn makasiriko?Huyu ni kizazi cha chips ndio wanaoandika ujinga kama huu.SAA 4am ni ujinga mtupu ijapo tumeelewa ni SAA 10 asb.
Kwa nini usiandike kiswahili tu?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mwanaume wa Dar weweJana nilikula chipsi aisee njaa imenitafuna sasa nakula ugali na dagaa, majirani sijui watanionaje!
Sijui kuhusu majirani ila humu walisema ugali hudumaza akili.Jana nilikula chipsi aisee njaa imenitafuna sasa nakula ugali na dagaa, majirani sijui watanionaje!
Du. Si kulikucha akala asubuhi?Nafuu wewe hapo kuna mtu alikula matunda tu akalala usiku wa saa nane njaa ikamsokota. Ikabidi aamke achinje kuku nakumpika, maana hakukuwa na chakula kwa wakati huo
Inatagemea unakula na nini. Kama ni ule ulaji wa kiswahili, mboga inawekwa kwenye kifuniko cha soda ule na mkate basi ni lazima utasikia njaa.Chipsi, wali, mikate, tambi ni vyakula vya kike (laini), Me rijali ambaye hana matatizo ya akili hula chipsi dume (mihogo) au ugali dona.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mlo unaofuata unakula saa ngapi?Kawaida sana hiyo Mkuu.
Mimi ilikuwa ni kila siku naamka saa 11 asubuhi napika ugali na dagaa nahakikisha mpaka 12 asubuhi nimeshakula na saa 1 naingia kwenye mishe mishe.
Kuna kipindi tulitembelewa na mama mmoja mjazito. Alikuwa anaamka saa 10 usiku kusonga ugali na matembele eti mimba ilikuwa inapenda hiki chakula.Mbona safi tu
Kwa wenzetu wazambia ugali mapema tu mezani huo ndiyo utamaduni wao
Ova
Ilikuwa ni pasi ndefu.Mlo unaofuata unakula saa ngapi?